Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Akiwa kama Profesa na mwanaupinzani aliyesifika kila kona ya nchi alipaswa kusimamia maamuzi yake pasipo hofu huku akiwekeza katika kuwaelimisha wafuasi wake as to why amefanya alivyofanya na si kuwakimbia.

Kitendo cha yeye kukubali kuishi maisha ya digidigi baada ya uamuzi wake ni dhahiri kuwa hana confidence na maamuzi yake either kwa sababu ya kushinikizwa au kushawishiwa kuyafanya au uwoga na aibu ya kujulikana utumiwaji wake katika kuua upinzani Tanzania.
Inasikitisha sana aisee
 
Huyu jamaa kama kafanya faulo katika hilo, hakika litamtafuna sana maisha yake yote. Lakini kama msafi, Mungu atamsaidia.
 
Mtakufa njaaa nyie fanyeni yenu wenyeviti wanapiga pesa nyie Mnapiga kelele hapa unadhani wangepata mgao wakutosha wangeondoka lipumba maskini alikuwa hajui kinachoendelea kuhusu mpubga kamkaribisha lowasa kwa shangwe zote kuja kujua akabaki anashangaaa he he mbowe self hahaha mbaya sana hii kitu mihelaaa
Mkuu maisha si pesa tu, kuna pride...
 
Ni hayawanj pekee ambae haelewi sababu za prof lipumba kujiuzulu tusiwasinigizie CCM

Sababu ni ile kauli yake aliyowaambia Masheikh na waislamu kwenye msikiti wa Idrissa Waislamu tujipange sawasawa kuchukuwa dola mwaka huu 2015, sasa Masheikh wamebaki njia panda wagombea pande zote mbili ni makafiir watupu.
 
Mara baada ya kuhitimisha mkutano wake na waandishi wa Habari, Lipumba aliongozana na walinzi wake wawili, kuelekea uwanja wa ndege wa Dar es Salaam, na kusafiri kwenda mapumzikoni nje ya nchi.
Source: Gazeti la Nipashe

Fisadi anaenda kutumia rushwa aliyepewa na ccm zitamtokea poani lanatulahii we pumba
 
Lipumba kanunuliwa na Membe Kwa kutumia yake Mabilion ya marehemu Gadafi lengo la Membe kuwanunua Slaa na Lipumba ni kumkomoa Lowasa , Ujue Membe ana chuki kubwa sana juu ya Lowasa yupo tayari kuuza hata Nyumba zake ili mladi amlipe yeyote mwenye uwezo wa kumdhoofisha Lowasa.
 
Wamuulize Yuda Iscariot alimuuza Yesu halafu akajitia kitanzi shida SHS 30 hivi Lipumba kapokea ngapi?

CCM wataalamu kweli kweli safari hii ushindi ni asilimia 98 ya wapiga kura wote
 
Wasalamu wanandugu,

Habari nilizozisikia hivi punde ni kwamba Prof. Ibrahim Lipumba ameondoka nchini na ndege ya Rwanda jana baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari.

==========================================



Chanzo: Mtanzania

aondoke hanamshipi wa aibu.uproffesor wa lipumba unabidi kuchunguzwa .inawezeka uproffesa alipewa kama pipi.inabidi aitwe liproffesiriii
 
Kuna usemi usemao "Mungu hamfichi Mnafiki..." au mwingine kuwa... "Mwisho wa siku ni lazima Mnafiki aonyeshe rangi yake" (showing of true color)...Kwa hiyo prof. mwisho wa siku Mungu ilikuwa lazima amfichue na bila ya kuweza kujizuia zaidi akajikuta ameonyesha rangi zake. Kilichomfanya akimbie nchi ni 'kutokujua' jinsi gani anaweza kuukabili umma kwani hata sababu zake hazina mashiko.
Waswahili awanasema "Mungu amemuadhiri" hivyo shurti atafute chaka la kificho. Lakini ndani ya moyo wake dhambi hii itamtafuna sana na kumkosesha amani kwani hata watoto wadogo wanajua usaliti alioungia.
 
Nakutakia safari njema lipumba ila ningependa umshauri na james mbatia nae achukue maamuzi kama yako kwani hapafai huko UKAWA tokeni haraka

Mbatia Hana Njaa hanunuliki kirahisi , Nenda kamuulize Membe kajaribu kumnunua Kwa hayo Mabilion ya Gadafi kashindwa , unamtakia safari njema Lipumba kwani atakugawia pesa anayokwenda kuficha huko Nje? Lipumba kaenda huko kuficha pesa na kununua Nyumba amesindikizwa na wapambe wa Membe ambao wapo busy kuhakikisha Ukawa yote inanunuliwa kwani Yale Mabilion Gadafi badala ya Kuyatumia kwenye kampeni kaamua Kuyatumia kuwabomoa Ukawa ili kumkomoa Lowasa.
 
Kuna usemi usemao "Mungu hamfichi Mnafiki..." au mwingine kuwa... "Mwisho wa siku ni lazima Mnafiki aonyeshe rangi yake" (showing of true color)...Kwa hiyo prof. mwisho wa siku Mungu ilikuwa lazima amfichue na bila ya kuweza kujizuia zaidi akajikuta ameonyesha rangi zake. Kilichomfanya akimbie nchi ni 'kutokujua' jinsi gani anaweza kuukabili umma kwani hata sababu zake hazina mashiko.
Waswahili awanasema "Mungu amemuadhiri" hivyo shurti atafute chaka la kificho. Lakini ndani ya moyo wake dhambi hii itamtafuna sana na kumkosesha amani kwani hata watoto wadogo wanajua usaliti alioungia.

Hayupo mbali kajificha Dubai kaenda kununua Nyumba yupo na wapambe wa Membe ambao wanamchimba awasaidie kuibomoa ukawa , nape sasa anapiga pesa Kwa kisingizio cha kuwakoroga Ukawa .
 
Aondoke tu haijalishi ni profesa ila ufahamu wake ni pumba kama jina lake. Simfagilii hata kidogo, sijaona umuhimu wa elimu yake ktk kuiinua CUF bara ukawa angeweza nini? Kila la heri
 
aondoke hanamshipi wa aibu.uproffesor wa lipumba unabidi kuchunguzwa .inawezeka uproffesa alipewa kama pipi.inabidi aitwe liproffesiriii

Lipumba kichwani Elimu yake ni sawa na darasa la 4 kwani waliomlubuni si wasomi ni Watu wenye Elimu ya kawaida tu, nadhani alichosoma keshakusahau sasa kichwani yupo mtupu Akili imeludi kuwa na Elimu ya shule ya msingi.
 
Ni kama Jina lake, Lipumba amekuwa Prof Pumba!
 
Back
Top Bottom