Independent-Mind
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 712
- 208
Mkuu,wana jukwaa.
naomba kwa unyenyekevu tujadili hili swala la prof. kujiuzuru na kukimbia nchi..
nisingependa kuhoji kuhusu tuhuma alizozotoa kwa viongozi wenza wa ukawa..yah me nakubaliana nae tena zaidi ya 80%.
lipumpa amekuwa mwenyekiti wa cuf zaidi ya miaka 16 akiwa kiongozi mkuu tena wa chama cha upinzani.. kiundani anajua mateso na wakati mgumu unaowakumba viongozi wa upinzani hasa kwa nchi za kiafrika nadhani nae watakuwa mhanga.. lakini kwa mtu anayetaka mabadiliko huwa anazipokea changamito zote na kuziishi akitegemea ipo siku atayaona mabadiliko.
juzi tu mda mchache baada ya kujiuzuru alikwea pipa na kwenda majuuu... swali langu ni je hayo mabadiliko anaenda kuyapigania akiwa nje ya nchi.. je. kama kuna uozo aliuona ndani ya upinzani yeye kama mtu msafi ajitoa na kusema siasa basi wakati amekuwa mpiganaji miaka mingi??? je amemwacha nani anayemwamini atapampana na chama tawala??
1.Ungemsikiliza vizuri Lipumba wakati anajiuzulu baadhi ya maswali usingeuliza ,Alishasema anafanya nini baada ya kujiuzulu
2.Sikuzote kama hukubaliani ni itikadi,ilani,sera na mwendendo wa chama njia pekee huwa ni kujiuzuru ili usiwe mmoja kati ya wanaosimamia na kupitisha yale usiyoyaamini