Neema J Makene
Member
- Nov 11, 2010
- 23
- 4
Watabwabwaja sana, na kuzidi kukipa umaarufu chadema, na Mungu azidi kuwafungua watanzania wajue ukweli , uhuru na haki zao.Pipos power, go on chadema mpaka kieleweke , hawalali wala hawasinzii watajuta kuchakachua kura zetu.