THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
CCM walishawahi kuisambaratisha CUF kwa kukiita chama cha kidini.Maskini kilaza LIPUMBA anajaribu kukopy na kupaste.
Ndiyo ukubwa huo! Mwosha huoshwa.ccm wameamua kuwatumia cuf na waislam kwa wakati mmoja ili kuidhofisha cdm wakijua kwamba cuf sehemu kubwa inaungwa mkono na waislam,lkn mungu anaona