Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatekeleza muafaka kwa vitendo .
Ajue kuwa kuna siku zitawekwa hapa taarifa zake za kikao kilichofanyika Bagamoyo siku ambayo alikuwa na mkutano Tabora mjini na akalazimika kurejea DSM Kwa ndege ya serikali na baada ya hapo alienda Bagamoyo na kukutana na JK na viongozi kadhaa wa dini , na alirejeshwa uwanja wa ndege saa saba na nusu mchana na kusafirishwa kwa ndege ya serikali hadi Tabora.
Nitamwaga data zake hapa ndipo mtajua kuwa anafanya kazi gani mpaka sasa.
kwa leo naishia hapo.
kwenye forums kama JF hakuna kipaumbele, ni freedom ya expression na inategemea wanapitia forum wengi wako upande ganiwakuu mi napata tafrani pale hoja zinapotumwa jamvini maana naona hoja inapoletwa wote mnaipa nguvu ya kutosha na mwandishi wa hoja yoyote ile kuhusu kuitetea cdm ndio inayopewa kipaumbele, je hii jf ni ya cdm pekee au kulikoni?
prof anatakiwa aulizwe atoe evidence kwa yale anayosema (labda kweli cdm ni ya kanisa) kwa nini muwe wakali wa kumtolea maneno tu ? ni mara ngapi mmekua mkiwachukulia waislam kama wapumbavu wasiotaka hata kusikilizwa, inanikumbusha ililetwa hoja hapa jamvini siku kadhaa zilizopita hawa waislam (walishambuliwa hapa jamvini na mwingine kusema hivi sasa wako msikitini wamelala unawaambia kwani wanayajua haya) kama hapa jamvini 90% ni cdm na ndio mnaongoza kwa kuwafanyia mzaha waislam na kutokuwaheshim mnawapa kipaumbele kina nani ?(hoja ya wananchi wote siyo kweli mbona baadhi mnawaona vilaza) daima kuna maneno mawili tu reality(true /false) na hakuna kati ya haya. kama mnawatusi na kuwadharau hawa( ni lazima mnawaheshimu na kuwatukuza wale) na hapo ndipo manasema hamna udini wakati ninyi ndo wadini wakubwa (nawapeni ukweli mliyoficha vifuani mwenu kwa hakika ni makubwa kuliko mnayoyatoa midomoni mwenu) kazi kwenu
siku njema.
Nitarudia kwa mara nyingine na nyingine tena wala sitochoka!
Kwani tukichoka kuwaambia kwamba hivi ndivyo na vile sivyo kuna ubaya gani?
Kuna mengi hamtaki kuyaangalia bali MNATAZAMA MAPENZI YALIKOWAPELEKA...
FUMBUENI MACHO MUUONE UKWELI... HATA KAMA YOTE NI MAYAI... MENGINE HAYALIWI NA MENGINE NI VIZA!!
HATA KAMA YANAFANANA RANGI NA UMBILE!
Ndio maana wengi wetu TUNAISHIA KUTOA KASHFA na MATUSI badala ya Kusimama kidete na KUTETEA HOJA!
waberoya
Nimejaribu sana kukwepa kukujibu kwasababu unachoongea ni nadharia zaidi ya vitendo!!! na daima nadhari ni nzuri yenye harufu nzuri sana ya manukato kama tusomavyo kuhusu mbingu au peponi, kila kitu ni perfect... katu haiwezi kuwa hivyo na hasa kenye tanzania nchi ambayo maskini wanaongezeka na hali ni mbaya sana...
Mimi binafsi siungi mkono matusi baina ya wapinzani lakini ukae ukielewa kwamba sometimes hayaepukiki, kwasababu
CUF has detached from fighting a common enemy, that is CCM, na wamejiattach na huyo common enemy... kumbuka slaa alishawahi kusema kwamba zanzibar wanawasapoti kafu!!! HIVI WANGESEMA WATAISAPOTI CCM SI WATU TUNGEJISAIDIA MITAANI?
wahenga walisema never argue with a fool, people might not notice the difference... SASA LIPUMBA HAONI KWAMBA ANARUDI KULEKULE KWENYE STORI YA WAPUMBAVU WAWILI NA KIOO?
CCM sasa hivi wanalumbana hadi na vivuli vyao, hii utake usitake imeondoa ile vita baina ya vyama vya upinzani na CCM kwani kama nakuja kwako kupambana na wewe na nikakutana wewe na mkeo mnachapana makonde, basi mie ntasimama, ntaangalia ntaenda zangu nije siku ingine mmepatana
sasa basi, you played your part on advising CDM na viongozi wao, wenye akili walikusikia na nina imani si viongozi wote wa CDM wanakandya kafu na you can even document incidences ambazo CDM walikandya chadema, na kubwa zaidi ni ile ya kubadili sheria bungeni ili kafu wapate kuwa na decision making kwenye kambi ya upinzani, and guess what... KAFU AND CCM WERE AGAIN IN TEH HOLY MATRIMONY WAKIKAZIA NDOA YAO
mimi sielewi kabisa mwenye matatizo ni yule aliyefunga ndoa na adui yake au kaka anayemgombeza dada kwa kuolewa na adui wao wa ukoo?
WABEROYA, UNA HOJA ZA MSINGI NA MARA NYINGI YOU ARE VISIONARY AND WAY FAR MORE THAN 75% YA WANAJF KWENYE UCHAMBUZI WA KISIASA, LAKINI KUMBUKA KWAMBA WEWE, AND PROBABLY ME NI MINORITY, UNACHOONA HUMU NDICHO KILICHOPO MITAANI... HAUISHI BONGO WEWE, UNGEISHI HAPA TUKAKUTANA CHADIBWA NA KANGA MOKO UNGENIELEWA... UNACHOONA HUMU NDCHO KILICHO MITAANI
KUNA NCHI AFRIKA DJ ALICHUKUA NCHI TENA AKIWA MAAMUMA, SABABU KUBWA NI WATU KAMA WEWE, WATASHI WASOMI NA WANASIASA WALIPOSAHAU KWAMBA KUNA IDEAL SITUATION NA REAL SITUATION
VIJANA WENGI WAKO KWENYE REAL SITUATION NA WAZEE NA WENGINE WAPO KWENYE IDEA SITUATION
THE ONUS IS ON ALL TANZANIANS WITHOUT UBAGUZI
Inaweza kuwa HAJA pia inategemea na ufikirivu wako!:teeth:sasa hayo maneno yako ndio hoja?.
Asante mwanamageuko
unajua wengi humu wamejaa ushabiki wa kijinga kupita kiasi
matusi walianza chadema sasa mawe yanawarudia
ILitakiwa wapenzi wa chadema wawaonye viongozi wao kutowatupia matusi CUF na kujikita kuwakosoa CCM n akuuza sera na kuipanda chadema mioyoni mwa watu
Leo chadema wana maaudi wengi wakiwamo CCM na vyama vingine... wamefanikiwa kuwadanganya umma wa watanzania kuwa failure yao inatokana na maadui wengi wakati wao ndio waliowatengeneza
Kesho Mbowe akishalipa madeni yake na kupata mitaji kupitia ruzuku ndiyo atakiacha chama na kuwaacha hawa wengine solemba.
Ikifikia muda huo wengi tutaishia kukumbukw kwa aibu tu!!
Kila siku unafanya kazi ya kuonya chama fulani kwa mengo mazuri ukiamini kwa sababu wako kisiasa basi watakuelewa haraka.
Lakini kila siku tunashuhudia blunders za kisiasa zingine ni very historiacal zinafanywa na mwisho wa siku unajiuliza hivi vyama kweli vina malengo ya kutukumboa
Kuna mingine inatoa mapovu humu kumtukana waberoya na kusahau kuwa challengi zetu zinamaanisha wakue na kuleta mabadiliko.
Huu ni unafiki mwingine ambao tunawajua, tunawaona na wengine
WAZENI KIKUBWA JAMENI, IMPACTS ZA MANENO YA AKINA LIPUMBA NI KUBWA MNO KWA CHAMA CHENU...KAMA MNA AKILI BASI KIKUBWA MLICHOTAKIWA KUFANYA NI KUZUIA YASITOKEE KWA KUWAONYA VIONGOZI WENU WASIWATUKANE CUF!
Katika hili mtatukana sana na ikifikia wakati wa kuona CUF iliishawahi kuwa chama kikuaa cha upinzani ndio mtagundua kuwa the future of these parties is very questionable!
USHABIKI WA KIJINGA?.hili ni 1 kati ya matatizo ya watanzania, kutoeshimu hisia na mawazo ya wenzao, ni vizuri kuchalenge lkn sio kudharau.
NAJENGA HOJA.
nasikitika kuona ndg zangu mnashindwa kulinganisha mambo na kuyachanganua kulingana na elimu zenu.
CDM ni chama cha siasa(rejea maana ya political party), hivyo ikiwezi kikasimama na kukisifu chama kingne, hivyo sio kosa kama watakikosoa CUF, ilimradi mambo wanayokosoa sio uzushi.
CUF. swala la lipumba kuikosoa CDM sioni kama ni mada, mada ni shutuma za uzushi anazosema lipumba za chama cha KIKABILA, KIDINI na UKANDA.Unajua hizi ni serious issue sema nchi yetu inakosa umakini. mfano:
1.Hivi kwa nchi makini unazani mkurugenzi wa TAKUKURU angeendelea kuwa madarakani?.
2.babu loliondo angeendelea kutoa vikombe?. n.k
nikukosekana kwa umakini tu, ndio mana akina lipumba na baazi ya maimamu hawaogopi kuongea mambo ambayo kwa utalamu wa saikolojia ni hatari sana(bse they ar most likely 2b an atitude rather than just a belief).
ndg zangu kama nchi hii itaingia kwenye vurugu za kidini kizazi kijacho, kinapaswa kuilaumu serikali ya awamu ya nne pamoja na sisi raia kwa vile mpaka leo sijaona jitihada za makusudi za kukemea na kuzuia uchochezi huu wa kidini.
Anatekeleza muafaka kwa vitendo .
Ajue kuwa kuna siku zitawekwa hapa taarifa zake za kikao kilichofanyika Bagamoyo siku ambayo alikuwa na mkutano Tabora mjini na akalazimika kurejea DSM Kwa ndege ya serikali na baada ya hapo alienda Bagamoyo na kukutana na JK na viongozi kadhaa wa dini , na alirejeshwa uwanja wa ndege saa saba na nusu mchana na kusafirishwa kwa ndege ya serikali hadi Tabora.
Nitamwaga data zake hapa ndipo mtajua kuwa anafanya kazi gani mpaka sasa.
kwa leo naishia hapo.
hayaweInaweza kuwa HAJA pia inategemea na ufikirivu wako!:teeth:
wakuu mi napata tafrani pale hoja zinapotumwa jamvini maana naona hoja inapoletwa wote mnaipa nguvu ya kutosha na mwandishi wa hoja yoyote ile kuhusu kuitetea cdm ndio inayopewa kipaumbele, je hii jf ni ya cdm pekee au kulikoni?
prof anatakiwa aulizwe atoe evidence kwa yale anayosema (labda kweli cdm ni ya kanisa) kwa nini muwe wakali wa kumtolea maneno tu ? ni mara ngapi mmekua mkiwachukulia waislam kama wapumbavu wasiotaka hata kusikilizwa, inanikumbusha ililetwa hoja hapa jamvini siku kadhaa zilizopita hawa waislam (walishambuliwa hapa jamvini na mwingine kusema hivi sasa wako msikitini wamelala unawaambia kwani wanayajua haya) kama hapa jamvini 90% ni cdm na ndio mnaongoza kwa kuwafanyia mzaha waislam na kutokuwaheshim mnawapa kipaumbele kina nani ?(hoja ya wananchi wote siyo kweli mbona baadhi mnawaona vilaza) daima kuna maneno mawili tu reality(true /false) na hakuna kati ya haya. kama mnawatusi na kuwadharau hawa( ni lazima mnawaheshimu na kuwatukuza wale) na hapo ndipo manasema hamna udini wakati ninyi ndo wadini wakubwa (nawapeni ukweli mliyoficha vifuani mwenu kwa hakika ni makubwa kuliko mnayoyatoa midomoni mwenu) kazi kwenu
siku njema.
Anatekeleza muafaka kwa vitendo .
Ajue kuwa kuna siku zitawekwa hapa taarifa zake za kikao kilichofanyika Bagamoyo siku ambayo alikuwa na mkutano Tabora mjini na akalazimika kurejea DSM Kwa ndege ya serikali na baada ya hapo alienda Bagamoyo na kukutana na JK na viongozi kadhaa wa dini , na alirejeshwa uwanja wa ndege saa saba na nusu mchana na kusafirishwa kwa ndege ya serikali hadi Tabora.
Nitamwaga data zake hapa ndipo mtajua kuwa anafanya kazi gani mpaka sasa.
kwa leo naishia hapo.
Anatekeleza muafaka kwa vitendo .
Ajue kuwa kuna siku zitawekwa hapa taarifa zake za kikao kilichofanyika Bagamoyo siku ambayo alikuwa na mkutano Tabora mjini na akalazimika kurejea DSM Kwa ndege ya serikali na baada ya hapo alienda Bagamoyo na kukutana na JK na viongozi kadhaa wa dini , na alirejeshwa uwanja wa ndege saa saba na nusu mchana na kusafirishwa kwa ndege ya serikali hadi Tabora.
Nitamwaga data zake hapa ndipo mtajua kuwa anafanya kazi gani mpaka sasa.
kwa leo naishia hapo.