mrishoswagile
New Member
- Jul 17, 2013
- 4
- 1
Lililo stawi na halufu yake mbaya au lililo nyauka na halufu yake nzuri?
Hebu kwanza fanya mazoezi ya kuandika !
"BOLA" na "HALUFU" ndiyo nini ?
Au mwenzetu umebobea kuandika kwa kingereza?
Kwamba Kiswahili kinakupa shida?
Siamini kua Kiswahili ndiyo Mother tongue yako!
harufu ya nini kwani?
Ya kwapa .