MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,764
- 71,794
Habari zenu waungwana.
Kuna mkanganyiko ambao mimi naupata kutoka kwenye matumizi ya haya maneno mawili. Tanzania tumezoea neno "An Academician" kumaanisha Mwanazuoni. Lakini nchini Uingereza na Marekani wanatumia neno "An Academic" kumaanisha Mwanazuoni: Sasa lipi ni sahihi au utofauti ni upi hapa ???
CC: Wick , Prof , chige , Kiranga , Wyatt Mathewson msaada wenu tafadhali
Kuna mkanganyiko ambao mimi naupata kutoka kwenye matumizi ya haya maneno mawili. Tanzania tumezoea neno "An Academician" kumaanisha Mwanazuoni. Lakini nchini Uingereza na Marekani wanatumia neno "An Academic" kumaanisha Mwanazuoni: Sasa lipi ni sahihi au utofauti ni upi hapa ???
CC: Wick , Prof , chige , Kiranga , Wyatt Mathewson msaada wenu tafadhali