Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,177
- 93,487
Nasoma koment tuu
Ndugu yangu Malcom Lumumba, kwanza nitangulize samahani kwa kuchelewa kuitikia wito waku mkuu. U-busy kidogo ndo umechangia sikuweza kuingia humu kwenye Forum.Habari zenu waungwana.
Kuna mkanganyiko ambao mimi naupata kutoka kwenye matumizi ya haya maneno mawili. Tanzania tumezoea neno "An Academician" kumaanisha Mwanazuoni. Lakini nchini Uingereza na Marekani wanatumia neno "An Academic" kumaanisha Mwanazuoni: Sasa lipi ni sahihi au utofauti ni upi hapa ???
CC: Wick , Prof , chige , Kiranga , Wyatt Mathewson msaada wenu tafadhali
Duuh..Chuo gani mkuu? kwa uzoefu wangu najua uwezo wa baadhi ya wana taaluma walio wengi hapo Nchini especially kwenye hizi Public Universities. Kuna ombwe la competence sana kwenye vyuo vyetu. We acha tu. Nilikuwa naandika paper review kwenye article moja ya Dr. Fulani yuko hapo School of Law...yaani ni majanga. Kwanza nime-question integrity ya journal husika iliyopitisha na ku-publish hiyo paper. wamenijibu kwa masikitiko. Taaluma ni kama mpira wa miguu, usiposoma kila siku..umekwisha. The same to footballHili neno limezua taharuki, kuna maprofesa na madokta wamemshambulia dada moja hivi aliandika An Academic. Wao wakasema rekebisha weka Academician......