Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,540
Mara baada ya mechi ya jana kwenye UEFA Cup of Champions (Finalissima) wachezaji wa Argentina walionekana kumbeba Messi na kumrusha juu katikati yao.
Kwa kawaida hili huwa anafanyiwa kocha wa timu kama ikitokea wamebeba kombe. Kitendo hiki kinatafsiriwa kwamba Messi ndiye aliyeibeba timu.
Messi alitoa assist mbili kwenye mchezo huo wa jana na amebeba Lique 1 kwa ngazi ya klabu. Benzema kabeba UCL na Laliga.
Tutarajie Messi kushinda tuzo ya msimu huu kwasababu huwa anapendwa UEFA.
Kwa kawaida hili huwa anafanyiwa kocha wa timu kama ikitokea wamebeba kombe. Kitendo hiki kinatafsiriwa kwamba Messi ndiye aliyeibeba timu.
Messi alitoa assist mbili kwenye mchezo huo wa jana na amebeba Lique 1 kwa ngazi ya klabu. Benzema kabeba UCL na Laliga.
Tutarajie Messi kushinda tuzo ya msimu huu kwasababu huwa anapendwa UEFA.