Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Basi kuwa mpole na Low end machine yako boss. Hauna namna. Ujue soon or later hiyo 12.04 itakuwa completely useless.
 
kama sijakuelewa, unataka kuweka google earth kwenye chrome au imeshindikana kwenye ubuntu
 
E:Sub-process /usr/bin/dpkg returned an error code (2)?
Hii inasababishwa na nini najaribu update inafeli
 
E:Sub-process /usr/bin/dpkg returned an error code (2)?
Hii inasababishwa na nini najaribu update inafeli
weka full log ya terminal. Hako kakipande hakasaidii. Ni kama kumwambia daktari mimi naumwa halafu unatarajia akwambie unaumwa nini
 
mkuu nimefanikiwa sasa naweza kupiga media files zote
bila ya tabu yoyote. Kwenye display nilikuwa nataka kubadilisha lakini kuna option mbili tu ya kubadili. Kuna 1024x768 na 800x600, mimi nataka 1280x1024. Msaada wako please.

Fungua terminal {press Ctrl+t} then paste hii command "sudo apt-get install ubuntu-restricted-extras" bila quotes and then enter itakwambia ingiza password {huwa hazionekani} na press enter
 
Nimeiweka mkuu katika Ubuntu 16. lakini
sijui namna ya kuitumia. Nipe muongozo
very simple hi mkuu uwa natumia ku kama download manager ina vyote kama idm na kako simple na ina clipboard monitoring try it utaielewa tuh sudo apt-get install uget
 
kama sijakuelewa, unataka kuweka google earth kwenye chrome au imeshindikana kwenye ubuntu
samahani nilikuwa mbali na mawasiliano for 2 days. Ni kwamba nilijaribu kudownload Google earth ikashindikana ila kulikuwa na option ya ubuntu. Mimi ni mtumiaji wa hivi vitu ila siyo professional au mtundu nimeshapitwa na wakati. Je kama una Chrome ambayo siyo laptop yenyewe inadeal na internet tu unawezaje kudownload? Vitu vingi vinaniendesha inabidi nisubiri watoto ninapoenda kuwaona ndo wanisaidie. It is too much!
 
14.04 ina viupgrade vidogo ambavyo ukishavifikia inakuwa supported mpaka 2019.
ebwana dah thanks man kwa hio info muhimu saana, so hapo ni sukume to 14.04.5 lts ndo mpaka 2019.
Basi mie nilikua najua inaisha april hi mwaka 2017. ngoja nikoma nayo
 
Nimeiweka mkuu katika Ubuntu 16. lakini
sijui namna ya kuitumia. Nipe muongozo
uki taka ku download chochote kwenye net ifungue kwanza uget alafu nenda kwenye page yako download kitu ile ikianza tuh ku download stop alafu copy link ya download alafu fungua uget utaona enyewe imeji paste ile link yako then click start itanza ku download enywe so unaweza pause, stop au resume ni nzuri
 

Mi ilibidi niachane kutumia ubuntu maana nliaanza kufanya graphics design kwa adobe photoshop na illistrator basi sikua na namna zaidi ya kurudi kwenye windows kishingo upande
Mkuu deojames kwa maelezo yako ya dual boot si inawezekana kunena akaifanya hio intalation akawa na option mbili????

Nimeuliza maana na mimi ndio hitaji langu mkuu.

If it is posible tujulishe tuelewe then tufanyie kazi.

Shukran
 
Simple way kama anatumia Firefox nenda kwenye menu>add-ons>extensions na search flashgot and then install. Ukisha install itakwambia restart now {browser}. Ukisharestart rudi pale pale kwenye extensions utaikuta just click kwenye preference yake ikifunguka kwenye tab ya general, download manager chagua uget pia click tab ya downloads na chagua intercept all na kwenye tab ya flashgot media, download manager chagua uget. Hii flashgot pia unatumia kudownlodia youtube videos, ukiplay YouTube utaona kiicon cha multimedia mbele ya address bar just right click>available formats na chagua video format and click hapo uget itaanza kudownload
 
Mkuu deojames kwa maelezo yako ya dual boot si inawezekana kunena akaifanya hio intalation akawa na option mbili????

Nimeuliza maana na mimi ndio hitaji langu mkuu.

If it is posible tujulishe tuelewe then tufanyie kazi.

Shukran

yah inawezekana. ila simple way anza kuinstall windows then ubuntu. uzuri ukishainstall windows ukiweka cd/flash ya ubuntu inakupa option ya kuinstall alongside windows hapo unachagua unataka ubuntu itumie size gani ya harddisk then continue. mimi mwenye hapa nime dual boot ila windows inapita mieze hata siitumii nikiitumia naona iko very slow kulinganisha na ubuntu yangu.
 
Sawa mkuu nimekupata sasa hio ubuntu napata wap niko chuga kwa shingp
 
mkuu nimefanikiwa sasa naweza kupiga media files zote
bila ya tabu yoyote. Kwenye display nilikuwa nataka kubadilisha lakini kuna option mbili tu ya kubadili. Kuna 1024x768 na 800x600, mimi nataka 1280x1024. Msaada wako please.
View attachment 500931
either resolution yako ya display hardware ni ndogo or kuna additional driver zinaitajika. nenda hapo kwenye startmenu ya ubuntu na search update utaona moja imeandikwa software & updates click hiyo then nenda kwenye tab ya additional drivers hapo itaanza kusearch kama zipo za graphics install then jaribu kuchange resolution tena.

Note: make sure upo connected na internet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…