Ukiwa unaweza Kali unafuata hatua zipi?Baada ya kutumia rufus imekuja hivi
Hiyo Rufus ni kwa ajili ya kuwrite windows ISO kwenye flash kama unataka kuwrite linux tumia pendrive linux. Then ukishamaliza zima pc yako na inavyowaka angalia inakwambia bonyeza button Gani for boot options then ipress hiyo button (hapo inabidi uwefasta kucheki na kupress) na chagua USB drive hapo itaanza kuboot hiyo linux yakoBaada ya kutumia rufus imekuja hivi
Mkuu ebu download kwanza hii software na hakikisha flash yako ina nafasi za kutosha.
Android zipo images tu ambazo unaweza kutumia virtual box kuplay hiyo android kwenye PC na si PC kuweka android japokuwa kuna project ya jamaa flani wanaifanya inaitwa remix OS Android-x86 - Porting Android to x86Hivi kuna android inayofaa kwenye PC?
Naombeni msaada wenu maana window wanazingua sana na Android ndio naiona inafaa zaidi
Ok jaribu sasa kufanya yafuatayo.Lakini bado inakata
ndugu flash yako ni ndogo hili ndio tatizo kuna mafile hayaingii, tafuta ya GB angalau 7Vipi kaka mpaka hapa nipo sawa
Windows is just like an application and not OSMimi Ubuntu ndio home wala sipati shida. Nimeshaacha kutumia windows huu ni mwaka wa tatu sasa. Commands nyingi nazifahamu, ktk installation ya software wala sio kazi just a single line you are done. Napenda Ubuntu because kuhusu package zipo free. Unahitaji one line of command kila kitu kinakuwa vizuri. Mfano R, Python, SageMath, Scilab, Octave. Pia ipo vizuri kama unataka kutumia LaTeX. Mimi kuhusu suala la Antivirus nilisahahu kabisa. Windows nimeiweka kwa ajili ya wife ambaye huwa anatumia kwa kucheza karata.
mint ina ni bore kitu kimoja hahaha kwanza kama windows alafu kila toleo ni jina lakike hahaha fatilia code names za kila toleo la mint utachoka majina ya kike kama android na pipi 😀
Aisee nina wasisi na hyo image yako uliyonayo. Kulijua hilo tafta PC nyingi then iboot hyo flash yako ambayo ni bootable. Kama wew ni mtumiaji wa Linux utakuwa umenielewa maana ina option ya kuitumia kwenye PC bila ya kuinstall.Kaka bado hii ngoma inanisumbuwa