Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

nimetumia kali linux kwa ajili ya penetration tests...lakini kukosa app muhimu kama vile spotify na ms word inauma, japo libreoffice ipo lakini ms word ni nzuri zaidi, vile vile kuinstall printer ya deskjet ilikua ngumu...linux ni nzuri kwa watu ambao hawana mahitaji makubwa ya app za windows kama vile itunes,fifa na other games.....yalinishinda nikarudi microsoft......dual boot ilikua inafanya windows inakua slow sanaaa
 
Wakati nishachomeka flash yangu nimeshaboot flash ndio computer inaleta maelezo hayo
Unatumia tool gani kuburn flash yako, nakushauri tumia Universal USB installer. Halafu kabla kuweka angalia video ya maelekezo post #98.
 
nimetumia kali linux kwa ajili ya penetration tests...lakini kukosa app muhimu kama vile spotify na ms word inauma, japo libreoffice ipo lakini ms word ni nzuri zaidi, vile vile kuinstall printer ya deskjet ilikua ngumu...linux ni nzuri kwa watu ambao hawana mahitaji makubwa ya app za windows kama vile itunes,fifa na other games.....yalinishinda nikarudi microsoft......dual boot ilikua inafanya windows inakua slow sanaaa
Fuata huu Uzi humu mwanzoni kuna wp office inafanya kazi kama ms office. Tafuta link kwenye huu Uzi imewekwa.
 
Kutokana na uchache wa watumiaji madeveloper na wafanyabiashara hasa wa magemu hupenda kubase kwenye windows, ndio changamoto zenyewe hizi.
ila iko vizuri sana hai crush kama windows pia ina security kubwa sanaaa sio kama windows.......developers inatakiwa waangalie hii platform ni wachache sana wameiangalia
 
ila iko vizuri sana hai crush kama windows pia ina security kubwa sanaaa sio kama windows.......developers inatakiwa waangalie hii platform ni wachache sana wameiangalia
Ni kweli lakini huku software nyingi inabidi ziwe opensource na nyingi huwa ni bure sasa mtu anaetafuta pesa kuwekeza nguvu kubwa inakuwa ngumu ukiongeza na huo uchache wa watu na ndio software nyingi za Linux zinafanywa kwa ushirikiano wa madeveloper wengi na Linux ni nzuri sana hasa kwa kujifunzia lakini kama ni biashara huku kuna ugumu sana ukitoa android.
 
Linux inaweza ikawekwa kwa pamoja na windows OS na data zako zikabaki kama zilivyo na hivyo kuwa na option mbili na kuchagua mojawapo.


Hata mimi natumia Ubuntu ambayo imewekwa na windows OS
 
Inabidi pia ujifunze commands nyingi ukimaster hii inakuwa na software zipo nyingi pia.

Mimi Ubuntu ndio home wala sipati shida. Nimeshaacha kutumia windows huu ni mwaka wa tatu sasa. Commands nyingi nazifahamu, ktk installation ya software wala sio kazi just a single line you are done. Napenda Ubuntu because kuhusu package zipo free. Unahitaji one line of command kila kitu kinakuwa vizuri. Mfano R, Python, SageMath, Scilab, Octave. Pia ipo vizuri kama unataka kutumia LaTeX. Mimi kuhusu suala la Antivirus nilisahahu kabisa. Windows nimeiweka kwa ajili ya wife ambaye huwa anatumia kwa kucheza karata.
 
MGOGORO ULIOBUKA BAINA YA WATU WA OPEN SOURCE NA KUSABABISHA KUGAWANYIKA
Desktop za kwenye linux ambazo zilikuwa zinatumia Gnome zilikuwa na mtindo wa kawaida kama ule ambao upo kwenye windows kwa maana muonekane wake, taskbar inakuwa chini ama juu na ndio ilivyo kwa gnome desktop nyingi za ubuntu za zamani.
gnome-classic-ubuntu1404.png

Muonekano wa ubuntu iliyokuwa inatumia Gnome 2
Baadae developers wa gnome wakaachia gnome 3 ama gnome shell ambayo iliachana kabisa na "Traditional Desktop Environment" kama zile za kwenye windows OS hili liliibuwa ukosoaji baina ya watu wa open source na hapo ndipo mgawanyiko ulitokea na kusababisha kuibuka kwa "Desktop Environment" zingine zinazofanana na "traditional Desktop Environment" mfano wa hizo ni mate, Cinnamon, xface, kde plasma na nyinginezo.
ubuntu-mate.jpg

Muonekano wa mate environment ambao unafanana na desktop za kawaida.​
Na hii ndio moja ya chanzo cha kuibuka kwa linux nyingi sana ambayo ilitokana na kutofautiana na GNOME 3 iliyoachana na muonekano wa desktop zilizozoeleka......

1200px-GNOME_Shell.png

Muonekano wa gnome 3 ambapo taskbar ipo kushoto mwa screen​
 
Thread nzuri, nimependa watu experience zao wakielezea kwenye linux distro's.... lakini msi sahau windows mchango wake wala msi dharau windows iko stable jamani na compatible na hardware zote unazo zijua na wala usi zozijua.... nunua tu ka pc kadogo install linux uone kama aija kusumubua either kwenye WiFi, bluetooth etc. yani piga ua lazima itakusumbua, so hapo ndo windows ina piga bao na meningine windows imetusua tusi fikirie kwa upande wa end user, ila msife moyo kuna pc special kwajili ya linux aito sumbua chochote maana hardware zake zime kua set up for linux hata graphical hardware kama invidia, amd upati shida na games nzito una tumia kama kawaida sema pc zake zina bei. all in all my self ni fan wa linux hasa upande wa ubuntu means humanity to others bonge la O.S hapa nilipo na tumia 16.04.1 LTS ONLY kwenye ka pc changu cha mwaka 47 ila ukiona manjonjo una kimbia na nikapata challenges nyingi ila kapo kana piga kazi ila nai miss windows though kuna ma wine-playonlinux.....
 
Yeah kaka nilichofanya nimeformat flash yangu bdae nikadownload ile universal usb installer
 
Back
Top Bottom