Tuliambiwa kwamba kama JK angeshindwa katika kinyang'anyiro ndani ya CCM basi angeamishia majeshi CHADEMA na Mh. Mbowe alikuwa tayari kumpokea. Mwanzoni nilishindwa kuamini kama huo uhusiano unaweza kutokea lakini sasa nimeanza kuamini kwamba JK aliombwa kuandika sera za CHADEMA.
Sera ya Ajira
Serikali ya CHADEMA itatengezena ajiri nyingi na hasa kwa vijana, kivipi?
Tutaweka kipaumbele kuweka mazingira ya kuongezeka fursa za ajira
Tutatengeneza ajira milioni moja ndani ya mwaka mmoja wa utawala wa CHADEMA kwa kuimarisha sekta za ujenzi, madini, kilimo, utalii na huduma za jamii (walimu, madaktari na manesi).
Kwa hili naomba ufafanuzi toka kwa mwenzetu hapa JF Mh. Mbowe.
http://www.chadema.net/nyaraka/sera/ajira.php
Tuliambiwa kwamba kama JK angeshindwa katika kinyang'anyiro ndani ya CCM basi angeamishia majeshi CHADEMA na Mh. Mbowe alikuwa tayari kumpokea. Mwanzoni nilishindwa kuamini kama huo uhusiano unaweza kutokea lakini sasa nimeanza kuamini kwamba JK aliombwa kuandika sera za CHADEMA.
Sera ya Ajira
Serikali ya CHADEMA itatengezena ajiri nyingi na hasa kwa vijana, kivipi?
Tutaweka kipaumbele kuweka mazingira ya kuongezeka fursa za ajira
Tutatengeneza ajira milioni moja ndani ya mwaka mmoja wa utawala wa CHADEMA kwa kuimarisha sekta za ujenzi, madini, kilimo, utalii na huduma za jamii (walimu, madaktari na manesi).
Kwa hili naomba ufafanuzi toka kwa mwenzetu hapa JF Mh. Mbowe.
http://www.chadema.net/nyaraka/sera/ajira.php
leo chadema watakimbia hapa, wakigeuka kulia kuna sam, wakigeuka kushoto kuna kada, mbele kuna zemacorpolo, na wengine sasa tunafuatia.
kwi kwi kwi kwi, sijui watajificha wapi mwaka huu.
leo chadema watakimbia hapa, wakigeuka kulia kuna sam, wakigeuka kushoto kuna kada, mbele kuna zemacorpolo, na wengine sasa tunafuatia.
kwi kwi kwi kwi, sijui watajificha wapi mwaka huu.
Tuliambiwa kwamba kama JK angeshindwa katika kinyang'anyiro ndani ya CCM basi angeamishia majeshi CHADEMA na Mh. Mbowe alikuwa tayari kumpokea. Mwanzoni nilishindwa kuamini kama huo uhusiano unaweza kutokea lakini sasa nimeanza kuamini kwamba JK aliombwa kuandika sera za CHADEMA.
Sera ya Ajira
Serikali ya CHADEMA itatengezena ajiri nyingi na hasa kwa vijana, kivipi?
Tutaweka kipaumbele kuweka mazingira ya kuongezeka fursa za ajira
Tutatengeneza ajira milioni moja ndani ya mwaka mmoja wa utawala wa CHADEMA kwa kuimarisha sekta za ujenzi, madini, kilimo, utalii na huduma za jamii (walimu, madaktari na manesi).
Kwa hili naomba ufafanuzi toka kwa mwenzetu hapa JF Mh. Mbowe.
http://www.chadema.net/nyaraka/sera/ajira.php
leo chadema watakimbia hapa, wakigeuka kulia kuna sam, wakigeuka kushoto kuna kada, mbele kuna zemacorpolo, na wengine sasa tunafuatia.
kwi kwi kwi kwi, sijui watajificha wapi mwaka huu.
Tuliambiwa kwamba kama JK angeshindwa katika kinyang'anyiro ndani ya CCM basi angeamishia majeshi CHADEMA na Mh. Mbowe alikuwa tayari kumpokea. Mwanzoni nilishindwa kuamini kama huo uhusiano unaweza kutokea lakini sasa nimeanza kuamini kwamba JK aliombwa kuandika sera za CHADEMA.
Sera ya Ajira
Serikali ya CHADEMA itatengezena ajiri nyingi na hasa kwa vijana, kivipi?
Tutaweka kipaumbele kuweka mazingira ya kuongezeka fursa za ajira
Tutatengeneza ajira milioni moja ndani ya mwaka mmoja wa utawala wa CHADEMA kwa kuimarisha sekta za ujenzi, madini, kilimo, utalii na huduma za jamii (walimu, madaktari na manesi).
Kwa hili naomba ufafanuzi toka kwa mwenzetu hapa JF Mh. Mbowe.
http://www.chadema.net/nyaraka/sera/ajira.php
Hii inaonyesha kwamba CHADEMA walikuwa na dira makini zaidi ya CCM.
Kwa ahadi ya CCM ya ajira milioni moja kwa miaka mitano ni sawa na ajira laki 2 kwa mwaka. Wakati watu waoingia kwenye soko la ajira ni zaidi ya laki 7. Hii inamaanisha kwamba hata Kikwete angetekeleza ahadi yake bado angetengeneza tatizo la ukosefu wa ajira.
Lakini kwa ahadi ya CHADEMA ya milioni moja kwa mwaka ni wazi tatizo la ajira lingepungua kama sio kuondoka kabisa.
Lingine ni kuwa maneno ya Kikwete ni kama vile serikali yenyewe ndio inatengeneza ajira. Wakati CHADEMA yenyewe ililenga katika kuweka mazingira bora ya kisera katika sekta tajwa.
That is the difference between CCM and CHADEMA. Difference between real plans and empty promises!
Asha
Jamani hebu tuwe wakweli kwa dakika, neither CCM nor CHADEMA wanaweza kuetengeneza kazi 1M kwa mwaka. Nilibishia hilo wakati ule namsupport Jakaya na nalibishia hilo leo.
Uchumi wa Tanzania can't sustain such a growth, kwa hiyo ni mathematical imposible.
Jamani hebu tuwe wakweli kwa dakika, neither CCM nor CHADEMA wanaweza kuetengeneza kazi 1M kwa mwaka. Nilibishia hilo wakati ule namsupport Jakaya na nalibishia hilo leo.
Uchumi wa Tanzania can't sustain such a growth, kwa hiyo ni mathematical imposible.
Miaka Kumi nyuma kama ungemwambia mtu kuwa uchumi wa Angola unaweza kutengeneza ajira milioni moja angekwambia acha mizaha! Leo wametulia kasi ya kukua kwao kwa uchumi inaenda na ongezeko kubwa la ajira. Miaka 10 nyuma ungemwambia ka nchi kadogo kama Norway kangetengeza ajira nyingi na welfare ya kiasi walichonacho sasa cha kuwalipa hata wasiofanya kazi ungesema ni ndoto kabisa, leo wamegundua mafuta na wanayachimba vizuri wamefika huko. Kwa nini hatuamini kwamba Tanzania na rasilimali ambazo Mungu amezitoa tunaweza? Nini ajira milioni moja, kukiwa na sera nzuri ya kisiasa, kiuchumi na kijamii Tanzania inauwezo wa kubadili hata Maelfu ya Wamachinga kuwa wawakezaji. Inaweza kubadili Malaki ya Wachimbaji wadogo kuwa wenye kujitegemea. Na inaweza Kubadili Mamilioni ya Wakulima kuwa na kilimo cha ajira badala ya kilimo cha kupata na kura. It takes a mindset and a visionary leadership. Perhaps CHADEMA had that in mind. Labda tuwaulize wakina Kitila, Zitto na Mnyika waliojikoni. Wanafikirije?
Asha
Tuliambiwa kwamba kama JK angeshindwa katika kinyang'anyiro ndani ya CCM basi angeamishia majeshi CHADEMA na Mh. Mbowe alikuwa tayari kumpokea. Mwanzoni nilishindwa kuamini kama huo uhusiano unaweza kutokea lakini sasa nimeanza kuamini kwamba JK aliombwa kuandika sera za CHADEMA.
Sera ya Ajira
Serikali ya CHADEMA itatengezena ajiri nyingi na hasa kwa vijana, kivipi?
Tutaweka kipaumbele kuweka mazingira ya kuongezeka fursa za ajira
Tutatengeneza ajira milioni moja ndani ya mwaka mmoja wa utawala wa CHADEMA kwa kuimarisha sekta za ujenzi, madini, kilimo, utalii na huduma za jamii (walimu, madaktari na manesi).
Kwa hili naomba ufafanuzi toka kwa mwenzetu hapa JF Mh. Mbowe.
http://www.chadema.net/nyaraka/sera/ajira.php
Hii inaonyesha kwamba CHADEMA walikuwa na dira makini zaidi ya CCM.
Kwa ahadi ya CCM ya ajira milioni moja kwa miaka mitano ni sawa na ajira laki 2 kwa mwaka. Wakati watu waoingia kwenye soko la ajira ni zaidi ya laki 7. Hii inamaanisha kwamba hata Kikwete angetekeleza ahadi yake bado angetengeneza tatizo la ukosefu wa ajira.
Lakini kwa ahadi ya CHADEMA ya milioni moja kwa mwaka ni wazi tatizo la ajira lingepungua kama sio kuondoka kabisa.
Lingine ni kuwa maneno ya Kikwete ni kama vile serikali yenyewe ndio inatengeneza ajira. Wakati CHADEMA yenyewe ililenga katika kuweka mazingira bora ya kisera katika sekta tajwa.
That is the difference between CCM and CHADEMA. Difference between real plans and empty promises!
Asha
preachhhhh ! Naona unatumia maneno ya republicans ! ahadi ya chadema ya ajira milioni moja ingefanikiwa na ya ccm isingefanikiwa ndicho ulichosema angalau hukusema HOW ? kwani serikali ya ccm hadi hivi sasa unajua imetoa ajira ngapi tokea iingie madarakani ?