Lini wataachia internet tupige mishe mitandao ya jamii?

Tayari. Bila VPN nimeweza ingia:

1. WhatsApp
2. Instagram
3. Facebook (App)
4. Google
5. Playstore
6. JF
7. Twitter

Hivi vyote nilikua siwezi bila hisani ya Marekani.

Mtandao ni Halotel naotumia.
 
Baadhi ya mitandao ya jamii inayotumiwa na watu wengine, Wamezuia au Kuna tatizo la mitambo, maana tcra ndio wanacontol kila kitu na sijasikia tamko Lao au kiongozi yoyote. Mbona Kuna website nyingi zinafanya kazi ndio natumia kuwasiliana na baadhi ya watu Kama Skype, internet video calls na messenger nyingine sema zinakula sana Bando sana tofauti na nyingine
 
Basi tuendelee kutumia VPN tu nafikiri mpaka siku ya kuapishwa ndo mambo yatakua sawa.
Tatizo hawatoi taarifa, inacost sana watu Kuna waliokosa michongo kisa mitandao Sio kila mtu utakua na namba zake, wengine mitandaoni ndio unawapata. Bando za watu zimeenda bure sijui zitarudishwa
 
Tuma neno Maandamano tuone kama msg utaenda....
Sms situmii kabisa labda niwe na emergency sana mno, nakuaga na dakika mpaka 450 zinaexpire sijatumia hata moja, kiukweli sivutiwi na huduma za sms na call labda kuwe na michongo wa hela. Sijui kwanini imetokea na boeka sana naweza kutumia Skype kupiga Skype call kupiga Skype au simu ya kawaida. Kuna demu chotara wa Australia na mbongo tulifamiana sana ndio alinizoesha hayo Mambo
 
Wakuu nikikomment humu jamvini sehemu ya ku like inaniletea neno "moderator" nisije kuwa Niko hacked bila kujua
 
Hivi kumbe wazungu wakizima internet tutapata tabu sana!?
Ukileta uchoko au ubabe, wanazima kabisa na wanawapa notice pamoja na vikwazo kwa makampuni yatayofanya biashara na nyie mliowekewa vikwazo. Ila Kama haujawachokoza wakopoa sana
 
Saa hizi Niko australia unataka kusema wananiona nipo Jimbo gani mkuu
Mtego unategwa unakamatwa Kama mbuzi Tena unajileta mwenyewe Bila wewe kujua, hata uko Kuna balozi au ushirikiano wa kukamata mwarifu kwa njia ya nchi nyingine
 

Attachments

  • Screenshot_20201101-154443.png
    Screenshot_20201101-154443.png
    38.9 KB · Views: 1
Tuna iset vp hiyo vpn msaada nasi tupate internet
Kuna deka vpn, tor na orbit browser Zina VPN moja kwa moja
Ila ukiingia playstore ukatafuta neno free vpn wanakuletea vpn za bure unachogua moja wapo kutokana na pendeleo lako Kisha unadownload na kuifungua, unajaza taarifa zinazokuwa inaset kila kitu kwenye setting zako ikigoma tafuta nyingine Sio zote unazoweza kuziweka zinafanya kazi. Za kulipia zipo pia zinaanzia Dola 7 kwa kila mwezi, hazina usumbufu.
 
Back
Top Bottom