Lindi: Wanachama watano wa CUF wadaiwa kutekwa na watu wenye silaha usiku wa manane

Mtekaji anatafuta watekaji wenzake, kwani wamepoteana? Waache uzembe wa kijinga. Haya wapelekwe wakatoe ushuhuda kwa kayafa kuwa yesu ni muhalifu na yafaa ahukumiwe na ikibidi anyongwe.
 
Usiku saa 7. Mbona hawapo kituo chochote cha polisi? Jambo gani lingine unalolijua polisi wakafanikisha tofauti na kusimamia mwenge?
 
umechanganya mambo mengi kwenye uzi mmoja
 
'Masisiemu' yameanza kutuchokoza wanakusini.Tutawashusha mishipa!
 
Bro...asikudanganye mtu, hakuna CUF kusini labda kidogo ungesema ACT. Watu wa kusini na siasa zao ni tofauti na tunavyofikiri... hakuna kitisho cha CUF kusini labda asikudanganye mtu.
Wewe ndio hufuatilii, kama kuna eneo CUF ilibaki intact basi ni kusini. Hakuna defection za maana Lindi,Mtwara na Ruvuma kwenda ACT ukiachana na Mhe.Bwege tu. Wabunge ama wagombea wengi wa 2015 Wengi walibaki CUF ama kurejea CCM so ACT bado kupata numbers za CUF kule kusini.

Anyway uchaguzi uliopita sio kipimo but had it been ungeona ambavyo ACT ingegawana sana kura na CUF. Mfano yule Baruan, Bobali, Ngombale, Nachuma Maftah n.k waliopata kuwa wabunge walibaki CUF hawakumfuata Maalim ACT!! So usije ukadhani ACT ilibeba CUF wote kule.
 
Haya Mambo yanaudhi na kusikitisha. Kisa cheo na kujipendeleza!?
 
kesi ya mbowe 2020 amekuja kukamatwa 2021, labda hili litapata suluhu 2022.

Kwetu kila kitu ni cha ajabu, hewa au dhwaifu.

Kwetu maridhiano hapana hayo yana maana Zanzibar tu.

Picha mbaya kabisa kwa rais mzanzibari anayevutia ya maana kwao.
 
Ugonjwa wa magazeti ya siku hizi
 
Hivi hawa majambazi wanaovaa uniform wanataka kulipeleka wapi Taifa hili? Division 4 point 32 ndiyo tabu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…