Lindi: Wajawazito wajifungulia kwa tochi umeme ukikatika kituo cha afya rutamba

May 4, 2020
32
37
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani, wanawake wa kata ya Rutamba halmashauri ya manispaa ya Lindi wamelia na changamoto ya uchakavu wa miundombinu katika kituo cha afya cha Rutamba.

Wamelalamikia hayo baada ya wafanyakazi wanawake kutoka Mashujaa FM kufika kituoni hapo kuadhimisha siku ya wanawake ambapo miongoni mwa changamoto walizozitaja ni Pamoja na kukosekana kwa jengo la kuhifadhia maiti hali waliyoeleza kuwa, ikitokea mgonjwa amefariki mwili wake hukaa wodini na wagonjwa wengine mpaka ndugu waufuate.

Aidha wamesema changamoto nyingine ni kukosekana kwa wodi ya akina mama waliojifungua na wajawazito pamoja na kukosekana kwa huduma ya vyoo vya kutosha hali inayowalazimu baada ya kujifungua kutumia choo kimoja na wananchi wengine ambao hufika hapo kupatiwa huduma mbalimbali.

Katika hatua nyingine wameeleza kuwa, Pamoja na kuwa na umeme ila inapotokea umekatika muuguzi hulazima kuomba watu wamuwashie tochi ya simu ili kumzalisha mama mjamzito hasa nyakati za usiku kwani hata solaa iliyonunuliwa na wauguzi kupitia pesa zao binafsi imeharibika.

Kituo hicho cha afya kimejengwa mwaka 1967 na kwa sasa kinahudumia wananchi Zaidi ya 500 kutoka katika vijiji zaidi ya 8 na kukiwa na wataalmu 9 pekee.

Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo amesema wamefanya jitihada za kurekebisha kwa pesa zao moja ya chumba ambacho wanakitumia kama wodi japo bado wanauhitaji wa jengo la upasuaji na wodi
6a73ba53-7559-416e-a91f-9b695c213128.jpg
10abbb05-f086-4c0e-b629-3a95315581cb.jpg
36e76e57-c25d-4b21-ae60-0ccd73ed8d44.jpg
36e76e57-c25d-4b21-ae60-0ccd73ed8d44.png
a4f8d214-79f8-441d-a6ee-2b74ac55cc78.jpg
b424befe-5a06-4a8f-955b-256590236d32.jpg
dead30d3-b13b-44d4-b4d1-c5216260b0ec.jpg
 
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani, wanawake wa kata ya Rutamba halmashauri ya manispaa ya Lindi wamelia na changamoto ya uchakavu wa miundombinu katika kituo cha afya cha Rutamba.

Wamelalamikia hayo baada ya wafanyakazi wanawake kutoka Mashujaa FM kufika kituoni hapo kuadhimisha siku ya wanawake ambapo miongoni mwa changamoto walizozitaja ni Pamoja na kukosekana kwa jengo la kuhifadhia maiti hali waliyoeleza kuwa, ikitokea mgonjwa amefariki mwili wake hukaa wodini na wagonjwa wengine mpaka ndugu waufuate.

Aidha wamesema changamoto nyingine ni kukosekana kwa wodi ya akina mama waliojifungua na wajawazito pamoja na kukosekana kwa huduma ya vyoo vya kutosha hali inayowalazimu baada ya kujifungua kutumia choo kimoja na wananchi wengine ambao hufika hapo kupatiwa huduma mbalimbali.

Katika hatua nyingine wameeleza kuwa, Pamoja na kuwa na umeme ila inapotokea umekatika muuguzi hulazima kuomba watu wamuwashie tochi ya simu ili kumzalisha mama mjamzito hasa nyakati za usiku kwani hata solaa iliyonunuliwa na wauguzi kupitia pesa zao binafsi imeharibika.

Kituo hicho cha afya kimejengwa mwaka 1967 na kwa sasa kinahudumia wananchi Zaidi ya 500 kutoka katika vijiji zaidi ya 8 na kukiwa na wataalmu 9 pekee.

Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo amesema wamefanya jitihada za kurekebisha kwa pesa zao moja ya chumba ambacho wanakitumia kama wodi japo bado wanauhitaji wa jengo la upasuaji na wodi
Hayo ndo majengo ya hiyo hospitali au ni machinjio?

Bado tunasafari ndeeeefu saaaana.
 
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani, wanawake wa kata ya Rutamba halmashauri ya manispaa ya Lindi wamelia na changamoto ya uchakavu wa miundombinu katika kituo cha afya cha Rutamba.

Wamelalamikia hayo baada ya wafanyakazi wanawake kutoka Mashujaa FM kufika kituoni hapo kuadhimisha siku ya wanawake ambapo miongoni mwa changamoto walizozitaja ni Pamoja na kukosekana kwa jengo la kuhifadhia maiti hali waliyoeleza kuwa, ikitokea mgonjwa amefariki mwili wake hukaa wodini na wagonjwa wengine mpaka ndugu waufuate.

Aidha wamesema changamoto nyingine ni kukosekana kwa wodi ya akina mama waliojifungua na wajawazito pamoja na kukosekana kwa huduma ya vyoo vya kutosha hali inayowalazimu baada ya kujifungua kutumia choo kimoja na wananchi wengine ambao hufika hapo kupatiwa huduma mbalimbali.

Katika hatua nyingine wameeleza kuwa, Pamoja na kuwa na umeme ila inapotokea umekatika muuguzi hulazima kuomba watu wamuwashie tochi ya simu ili kumzalisha mama mjamzito hasa nyakati za usiku kwani hata solaa iliyonunuliwa na wauguzi kupitia pesa zao binafsi imeharibika.

Kituo hicho cha afya kimejengwa mwaka 1967 na kwa sasa kinahudumia wananchi Zaidi ya 500 kutoka katika vijiji zaidi ya 8 na kukiwa na wataalmu 9 pekee.

Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo amesema wamefanya jitihada za kurekebisha kwa pesa zao moja ya chumba ambacho wanakitumia kama wodi japo bado wanauhitaji wa jengo la upasuaji na wodi
Hii ndio Tanzania bwana.
Kila kukicha ukisoma magazeti unatamani kulia! Yanayoandikwa ni tofauti na tunayoyaona huku mtaani! Ukweli usemwe tu!
Kila siku mama Katia pesa kujenga Kituo, Shule, madarasa, vituo afya! What the Hl. Hivi Hawa viongozi kuanzia kata hadi mbunge Nini kazi wanafanya?! Mbunge unapata fungu la kuangalia eneo lako mnazitumbua.

Leo nimesikia kilio cha Wana Njombe eneo Fulani wakilalamika Kwa Serikali wamejenga Kituo cha afya jengo la utawala limemalizika. Waliahidiwa kupata Mil.500 Toka Kwa Serikali lakini la kushangaza ni mwaka wa nne Sasa hawajapatiwa hata senti moja.

CCM Hoyee! Na Chongololo alikuwepo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom