The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theftMaigizo yanaendelea, lilianza bunge kumpongeza Raisi kwa kununua korosho, wamekuja UWT wamempongeza, sasa ni Wana ccm wa Lindi.
Kundi gani Litafuata..?
Mmeishiwa hoja, mnatapatala tu. Huyo ndo JPM wa wanyongeThe CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft
Watafuata wa Kilimanjaro, Tanga, Mara, Mbeya n.k. Chama.tawala, chama. Dume. Siri ya kubalika wewe shughulika na wanyonge, Mabwanyenye yaache yatajibeba yenyewe.sema wana CCM wa Lindi.
Mbona ni ccm watupu? Au uliposema "lindi" ulikua na maana gani?
Mbona umesahau na wastaafu ndugu Msakila KABENDE ?Natamani sana hata watumishi wa umma waandamane - kiukweli JPM yuko poua kabisa - resources kidogo lkn ufanisi mkubwa
We jamaa bhna wana-CCM hao unasema Lindi?
hahahahaMbona ni ccm watupu? Au uliposema "lindi" ulikua na maana gani?