Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
wakuu kuna lindege la jeshi limepita muda simrefu nadhani kuelekea taifa sasa, limeua mtu moja aliyekuwa mgonjwa kiasi na tv zote mtaani kwangu kukata kabisa ata channel moja hakuna, limepita kwa mshituko mkubwa sanaaaa kwani yasipite baharini huko.