Vijisenti
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 544
- 328
Rafiki yangu ana mchumba wake, Jambo la ajabu na la kushangaza yule mchumba anamueleza rafiki yangu kuwa hampendi anajilazimisha lakini atamvumilia. Mimi na rafiki yangu tumejaribu kumuhoji tatizo ni nini ameshindwa kueleza. Mimi niliwahi kumuhoji tukiwa wawili tu akasema kuna wakati huwa ampenda na kuna wakati anaulazimisha tu moyo wake. Waungwana naomba maelezo yenu nini kifanyike kwa Tatizo kama hili?