Wadau plz nahitaji namba ya simu ya office ya Taqwa buses au Mohammed Trans kwani nataka kusafiri toka Malawi kuja Bongo
Kama kuna msikiti jirani na hapo ulipo nenda ukaulizie humo
Wadau plz nahitaji namba ya simu ya office ya Taqwa buses au Mohammed Trans kwani nataka kusafiri toka Malawi kuja Bongo
Acha ujinga huo, msikiti umehusu nini hapa. Mwenzio kauliza, hujui si unyamaze tu. Kazi kuleta udini tu. VIVA JF.