Lil Wayne hali ni tete...

Lil Wayne hali ni tete...

Tumuamini huyo Dada sababu mara ya mwisho lini ulipomuona Lil Wayne akifloo stejini?

Je skendo zozote kuhusiana na miziki yake?

Je kuanzisha wimbo mpya na kuuimba?
View attachment 1258841

ina maana lil wayne anatudanganya kuhusiana na afya yake?
hii picha ameipost kupitia account yake ya twitter mnamo tarehe 12 october.
=========================================
View attachment 1258845

View attachment 1258844
tarehe 30 september.
tumuamini lil wayne mwenyewe au huyu binti aliyeweka hizi picha za lil weezy aliyechakaa?
 
Unapisema zimeanza kumpa shida unamaana tattoo ndio chanzo cha hayo yote? Mara ya mwisho nlisikia alikua anaanguka kama kifafa hivi na kupelekea kuahirishwa kwa shoo kadhaa
Na mimi nafahamu hivyo na pili Wabongo wafahamu kuwa hao watu wana bima maalumu (kubwa) za kutibiwa hivyo wasifikili atapitisha bakuri kuchangiwa. Mwisho wafahamu kila mtu aliyepo hapa duniani ataugua au atakufa na kuugua sio kifo. Walimsema Lowassa atakufa na Mtikila akatangulia. So pambaneni na hali zenu
NB: Harafu afya yake iko fresh tu kadiri siku zinavyosonga
 
Tattoo ndiyo chanzo cha hayo yote maana ilimtafuna sana kwa kansa ya damu hadi alienda Los Angeles USA kutibiwa lakini bado hali yake ilikuwa ni tete sana.

NB:

Los Angeles ni sehemu pekee USA inayoongoza kwa gharama za juu sana kwa huduma na manunuzi kifedha sawa na Arusha kwa hapa TZ.
Ushahidi wowote ktk hili will be appreciated
 
Inasemekana ni Kansa ya Ngozi
Unapisema zimeanza kumpa shida unamaana tattoo ndio chanzo cha hayo yote? Mara ya mwisho nlisikia alikua anaanguka kama kifafa hivi na kupelekea kuahirishwa kwa shoo kadhaa
 
IMG_1139.JPG
 
Ana ngoma mbona muda tu. Na aliweka wazi.
hahaha acha porojo mkuu, mwaka gani aliweka wazi. zilipo vuka kawaka ilikuwa 2014-15 na akajibu 'dont playing with me ya mammy got AIDS'

Lin alijitangaza kuwaka.
 
Huyu walisema afya yake ni kama alikanyaga miwaya
Duh anafanana na mdudu
 
mukubwa lil wayne haiitaji umfatilie sijui tangu azaliwa yule ni mtu maarufu lolote la kumuhusu ni habari tungesha fahamu mkuu
ndio maana nikasema i heard maan yake nilisikia . Kwa mtu mkubwa haimaanishi kwamba ndio kila kitu chako kinafahamika mzee kuna watu wengi ni wakubwa wasanii wa mbele wana mambo yao na haya julikani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom