CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 853
Kwa wale mliopo kwenye ulimwengu wa sheria, ebu tujuzane juu ya hili. Kwamba likizo ya uzazi imeongezwa toka siku 84 hadi miezi 6?
Kiambatanisho chajieleza.
Kiambatanisho chajieleza.
Kwa wale mliopo kwenye ulimwengu wa sheria, ebu tujuzane juu ya hili. Kwamba likizo ya uzazi imeongezwa toka siku 84 hadi miezi 6?
Kiambatanisho chajieleza.
View attachment 517849
Dah!
INA UMA SANA
TENA SANA
YANI ZAIDI YA SANA.
NILISHA ACHAGA KITAMBO SANA KUFATILIA MAMBO YA SIASA.
ILA KWA HILI LA RAIS WA TLS,
MHESHIMIWA TUNDU LISU LIMENISHINDA KUVUMILI.
HEBU MSIKILIZENI ANACHO SEMA MWANASHERIA HUYU KUHUSU KUKAMATWA ULE MCHANGA WA DHAHABU,
HUENDA LABDA NYIE WENZANGU MTAKUWA MMEMUELEWA THEN
ALIYE MUELEWA NAE ATANIJUZA ILI NA MM NIMUELEWE KAMA ALIVO MUELEWA YEYE.
Nahapa namnukuu;
"Tanzania ni mwanachama wa kitu kinacho itwa THE MAGER CONVASION.
MAGER ni MULT VATRAL INVEST MENT GARANTY AGENCY wa benki kuu ya dunia.
Ukiwa mwanachama, wawekezaji wakileta mali zao kwako kisha ukachukua mali zao kama alivo chukua magufuli namna hii,
utapelekwa kwenye mahkama za kimataifa unaenda kushughulikiwa huko.
Tuna sain mikataba ya ulinzi wa wawekezaji na mataifa ya wanapotokea wawekezaji hao ambayo ni MAREKAN, CANADA, ENGLAND na NK. wote hao ni mabosi wakubwa.
Makampuni ambayo MAGUFULI anayakamatia mali zao yanatoka kwenye hizi nchi.
Tuna BY ELETRO INVEST MENT TREATES ambazo zinalinda mikataba yao.
Rais wetu kama kawaida yake,
ana shaurika?
(hapana ye huwa hangoji ushauri)
sasa amejiingiza kwenye mgogoro mkubwa".
MWISHO WA KUMNUKUU.
Dah!
kwa mm mwananchi wa kawaida imeniuma sana kumwona rais wa wasomi wote wa sheria TANZANIA akiongea maneno haya,
huku nikijiuliza maswali ambayo cjapata majibu,
labda mje mnijuze wenzangu.
1- mheshimiwa lissu unaposema (mali zao walizo walizo kuja nazo)
ni zipi hizo?
wakati wao ndo wamekuja kutafuta mali huku kwetu?
2- mheshimiwa lissu mikataba tuliyo sainiana nao hao jamaa, inasema chochote watakacho kipata katika uchimbaji wao, bac wasiulizwe wamepata kiac gani?
3- mheshimiwa lissu iwapo wawekezaji wametuambia eti wamepata dhahabu tani 3,
baada ya uchunguzi tukagundua wamechimba tani 7,
hapa aliye kiuka mkataba ni yupi kati ya MWEKEZAJI NA SERIKALI HUSIKA?.
daa!
hapa nimekwama kupata majibu kwakuwa mm sikusoma, lakini hata kuona pia nisione jamani?
daah!
INAIMA SANA
TENA SANA
KULIKO HATA SANA.