Likizo time!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,999
Ndugu wana Chitchat na JF kwa ujumla...

Nasikitika kuwaaga :sad: :sad: :sad: , kuanzia jumatatu ya tarehe 18/03/2013 nitakuwa nje ya Jukwaa letu pendwa kwa muda usiojulikana. Mungu akipenda tutaonana tena hapa jukwaani.


Nitawamiss saaaaaaaana.....


Aione: Daddy watu8, Mummy measkron, Sisters sweetlady & WiseLady, cousins ladyfurahia, FirstLady, brother Davie S.M, Elizabeth Dominic, Mtambuzi, Erickb52, Arushaone, Jiwe Linaloishi, Paloma, Madame B, amu, Mr Rocky, Asnam, Zion Daughter, Arabela, Filipo, marejesho, Bishanga, KakaKiiza, Nivea, Chimbuvu, C6 , ThinkPad, Yegomasika, Lucas, Asprin, King'asti, gfsonwin, cacico, snowhite na wanaJF wooooote!!!!!!!!!!

:humble: :humble: :humble: charminglady - Miss Chitchat 2012 :A S 103: :A S 103::A S 103::A S 103:
 
Last edited by a moderator:
lol shostito mi ntakumis walahi ila siutahudhuria kile kikao chetu cha mabachelor wa CC.Mungu akutagulie umalize likizo salama urudi na story na mbwembwe nyingi hapa jamvini ila siutumie hata simu mbona neti kila mahali au waenda kufundwa?????????
 
lol shostito mi ntakumis walahi ila siutahudhuria kile kikao chetu cha mabachelor wa CC.Mungu akutagulie umalize likizo salama urudi na story na mbwembwe nyingi hapa jamvini ila siutumie hata simu mbona neti kila mahali au waenda kufundwa?????????

Hata mie nitakumiss sana mpendwa..... Nina option ya kutumia simu ila nalazimika kutotumia Internet kwa muda.

Usijali kama nitapata taarifa mapema ya kikao nitahudhuria!!

Baki salama..........
 
Mweeh! Kwanza nakuonea wivu! Likizo kwa muda usiojulikana?
Pili urudi na kizygote tafadhali.
Nitakumiso binafsi yangu. Uwe salama

hahahaaaaa........ Kama vipi twende unisindikize basi.... Kizygote noma aiseee bado sana ati... haya stay safe!!! :crying:
 
Jamani my cousin wapi tena ndo mitihani imeanza au naomba uniPM basi japo nisikie sauti yako ya mwisho best natamani kulia kwi kwi kwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Pia napenda kuungana na wewe kwenye masikitiko haya kwa kuwa nitaambatana na wewe kwenda likizo kule kisiwani!
Ntawamiss sana ila tutakuwa tukipatikana kwa 0713-800 800 masaa 24
 
charminglady nimeanza kuku mis kabla hata j.tatu haijafika
 
Last edited by a moderator:
Pia napenda kuungana na wewe kwenye masikitiko haya kwa kuwa nitaambatana na wewe kwenda likizo kule kisiwani!
Ntawamiss sana ila tutakuwa tukipatikana kwa 0713-800 800 masaa 24
asavari mmeacha namba tutawapigia
 
Jamani my cousin wapi tena ndo mitihani imeanza au naomba uniPM basi japo nisikie sauti yako ya mwisho best natamani kulia kwi kwi kwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Hata mie ntakumiss my cousin.. Haya naja PM tulonge kinyumbani!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…