Mamndenyi nimeona bana kuna watu wanatembea nazo kwenye mfuko na zimefungwa makufuli ya SolexNimekupa,
je umeiona?
taratibu mkuu,mhusika anasema kanokia tochi ndo kanamponza,hakapigi 'like'.avatar kama @angel msoffe ingekuwa ni kule FB kama ni rafiki yako ni kum-delete fasta... maana hawezi like post/comment yako yoyote...!!!
Haimaanishi ku-like kila post/comment yoyote, kuna zile fun/point comments/posts, hivi kweli @angel msoffe, toka june/2011 ujiunge jf hakuna post/comment yoyote iliyokufurahisha??
Any good reason kwa nini huwa hutoi 'like'? Just curious.