mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,306
- 6,514
unexpectedlyMimi naishia hapa nikafanye ishu za maana hakuna mechi ya kuangalia hapa,hii kiingilio jero ni bora nikapige kiroba
unexpectedlyMimi naishia hapa nikafanye ishu za maana hakuna mechi ya kuangalia hapa,hii kiingilio jero ni bora nikapige kiroba
Tulipaswa kushinda goli kama 6Dah.... washabiki wenyewe wa Ndala FC hapa uwanjani hawana furaha sana kama ilivyozoeleka .. yaani mechi kama imetengenezwa vile
Hii mechi ina ukakasi mno
Muda mwingine unaweza ukadhani kuwa umeponda kumbe umesifiaMnadaiwa 10m ya goli lililozidi
Mnaonaje mamilioni mnayotumia kuwanunua kina Chirwa mngeyabakisha kwa ajili ya mpesa za kina NdandaUmbea kazi ngumu, lkn Simba wanaupenda
Msingemnunua kipa mliokuwa mnalala.Mkuu ulicheki game ya Simba na jkt?mpira ulikuwa mgumu ule gonga unaziona
4' Donald Ngoma 1-0Tupe Na wafungaji mkuu.
Hivi Chirwa utamlinganisha na Mavungo?Mnaonaje mamilioni mnayotumia kuwanunua kina Chirwa mngeyabakisha kwa ajili ya mpesa za kina Ndanda
Hata BOSSOU naye pesa ilienda Bure.... Baada ya mechi kadhaa ikaonekana pesa nayo ililipa nauli (kuwa haikuenda bure)...Ha ha ha.... namna gani hapa Zulu anajipiga chenga mwenyewe na mpira unakataa...bila shaka pesa imeenda bure hapa
Heeh.. Umeibuka, naona unaendelea na mipango yako nje ya uwanjaHata BOSSOU naye pesa ilienda Bure.... Baada ya mechi kadhaa ikaonekana pesa nayo ililipa nauli (kuwa haikuenda bure)...
SHILAWADU FC kwa kulalamika hamjamboMnaonaje mamilioni mnayotumia kuwanunua kina Chirwa mngeyabakisha kwa ajili ya mpesa za kina Ndanda
Utafikiri watoto wa kikeUmbea kazi ngumu, lkn Simba wanaupenda
Basi tulitoe.... Tufanye mechi imeisha 3 bila.Goli la 3 offside ya wazi kabisa tifutifu waangalie hilo