Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
sasa utajisifiaje unaligi bora wakati huna wachezaji bora.?
Tel em!
sasa utajisifiaje unaligi bora wakati huna wachezaji bora.?
Rooney alipowafunga Man Cty kwa tik taka wakamwita white Pele,
nilichoka zaidi 2010 world cup SA walivyokua wanatangaza eti kombe la dunia Lipo miguuni mwa Rooney.
uk kwa kujitangaza hata USA haoni ndani.!!!
Kwa kutangazwa labda.!!
Nadhani kati ya timu 3 ni vigumu ku predict ipi itachukuwa kombe kuliko kati ya timu 2. Odds za atakayechukuwa Kombe Spain ni 50/50 kati ya Wababe wawili, wakati EPL odds ni less ya hizo za la liga. Ndio hata Spain Barca na Real wanafungwa na timu ndogo lakini ni mara chache sana kutokea ukilinganisha na England.
Inawezekana ni bora kwa matangazo ya biashara, lakini sio kwa kiwango cha mpira. Kiwango cha EPL kimedrop sana huwezi kufananisha na misimu minne mitano iliyopita.
Hivi unadhani kwa nini saa hizi wachambuzi mbalimbali wa soccer wanajiuliza kama balance of power of European football is shifting baada tu ya match za juzi kwenye UCL?
Waspain sio tu kwamba Ligi ndio imekuwa dominant kwa muda Ulaya lakini pia inatoa team ya Taifa bora kabisa, inawachezaji bora duniani. Na sio kwamba La liga inateam mbili tu, Valencia, Malaga, A.Madrid, ni team ambazo kama zingekua zinacheza EPL hii ya sasa, zingekua zinagombania Ubingwa
EPL ni 'the most watched' ligi duniani
but sio bora....
Sio Mich tu
hata Santi Carzola,au Silva wa Man City..ni mastaa England kwao hawapati namba timu ya taifa..
Torres hata asipocheza timu ya taifa hakuna pengo
ha ha ha ha! Embu rudia sentensi ya mwisho. He he he hili Jukwaa ni tamu sana.
Soma vizuri nilivyosema na
kuelewa nilichosema. Sijataja ligi gani bora katika sentesi yangu.
Nilichokuwa nataka kusema ni simply kuwabeza wale waliokuwa wanadai La
Liga ni ligi bora kuliko EPL kwa vile waliingiza timu 3 katika robo
fainali ya UCL mwaka huu wakati EPL haikuwa na hata timu moja. Na
kukurahisishia maoni yangu ligi bora ni ile yenye ushindani mkubwa, ligi
ambayo matokeo ya mechi hayatabiriki timu ndogo (toka daraja la chini)
inaweza kuipa kipigo timu kongwe, ligi ambayo toka mwanzoni mwa msimu
huwezi kutabiri timu gani ( zaidi ya mbili) itabeba kombe. Katika ligi
ya Spain tunajua bingwa atakuwa either Barca au Real Madrid. EPL
inapoanza huwezi kutabiri nani atabeba kati ya Manchester utd,Chelsea au
Manchester city (kwa sasa) na bado kuna kina Arsenal, Tottenham,
Liverpool,Everton ambao wanatoa ushindani kwa hizo timu tatu kugombea
nafasi za UCL au hata kunyemelea kuchukuwa kombe kwa miujiza ( keyword
Miujiza). kwa kifupi EPL kwangu ni ligi bora kiushindani, ila
kitechnical naweza kusema La liga ipo juu.
Mourinho huwa unaongeaga Point sana.
It's True Brother.
Ligi ya Somalia ndio kali kuliko
sasa utajisifiaje unaligi bora wakati huna wachezaji bora.?
bossSio Mich tu
hata Santi Carzola,au Silva wa Man City..ni mastaa England kwao hawapati namba timu ya taifa..
Torres hata asipocheza timu ya taifa hakuna pengo
Hiyo team ya UEFA inajumuisha wachezaji kama Pique ambae alikuwa flop na still bado ni flop while wachezaji kama Ashley Cole alikuwa on form anaachwa.Hiyo team ya UEFA iliundwa na Barcelona na Real Madrid ndio imefungwa na Bayern/Dortmund goli 8-1kama ni dharau kwa epl basi wanaoongoza ni UEFA..
Maana wanatoa kikosi bora cha UEFA bila mchezaji hata mmoja wa epl, wakati epl ndio wanaoongoza kwa umaarufu na biashara.!!!!!!
Brother bado unaiamini hii kauli yako?Bale ajidanganye aende Spain ataenda kuwa bek 3 tena atakua anaanzia bench