Lift kwenda Arusha toka Dar

Lift kwenda Arusha toka Dar

Fibanochi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
476
Reaction score
1,029
Wanajamvi habari ya muda huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba kwa mtu anaeenda Arusha kutokea Dar na gari binafsi siku ya tarehe 24/12/2020 anipe lift, tutachangia wese kidogo. Kama yupo tafadhali sana aje chemba tuyajenge chap.
 
Wachaga wote tunapanda treni
 
Wenye magari binafd mkuje huku, kuna m2 anahitaj msaada kutoka kwenu.
 
Wanajamvi habari ya muda huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba kwa mtu anaeenda Arusha kutokea Dar na gari binafsi siku ya tarehe 24/12/2020 anipe lift, tutachangia wese kidogo. Kama yupo tafadhali sana aje chemba tuyajenge chap.
Pitia uzi wa road trip utaona kuna wadau Wana iyo ratiba
 
halafu gari ikiharibika upande wa injini si utataka urudishiwe mafuta yako
inazungusha mkono au kupoteza Timming hapo hasara ni kwangu naipark gereji jirani napanda basi
 
halafu gari ikiharibika upande wa injini si utataka urudishiwe mafuta yako
inazungusha mkono au kupoteza Timming hapo hasara ni kwangu naipark gereji jirani napanda basi
Tunakwama sana kama nchi sababu ya kuwa na watu wenye mawazo hasi kama yako, always have a problem to every solution. Badilisha mindset yako mkuu, kuna faida ktk hilo.

Sema Asante pia kwa kuchangia mada.
 
Nasikia pale oil com petrol station karibu na ubungo pana coaster za kutosha.
 
Nasikia pale oil com petrol station karibu na ubungo pana coaster za kutosha.
Kweli!!! Kama ni hvy vzr, though private isingekuwa mbaya, sababu ya story za hapa na pale, Ila Asante Sana mwamba kwa ur input, umetisha.
 
Back
Top Bottom