Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!

Namngojea Dr mshana jr aje anielezee vizuri aisee.
 
Mada fikirishi sana, kitabu hiki kinasaidia kutoa mwanga kidogo
 

Attachments

  • Curtiss FH and HA Realms of the Living Dead 5th Edition.pdf
    6.9 MB · Views: 45
Kifo cha Ephraim Kibonde kimeibua simanzi kubwa kwa sababu katika uhai wake hakuwahi kuugua
...kwa maneno hayo mkuu, sijui ulimaanisha nini!??
..Yaani Keb hakuwahi kuugua maishani mwake?
Hebu pitia hapa kwanza...!!

Halafu mkuu, mbona siku hizi mashati hayakukai sawasawa...!? Unafanya diet mkuu?
Madaktari wamponda Kibonde kupitia mtandao wa FB - JamiiForums

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Leo Paskali naomba nitofautiane na wewe kidogo. Haswa kuhusu uwezo wa kuitwa na wafu. Hata wangekuita mkaenda kutembea, unarudi tu na kuendelea na usingizi wako bila shida. Wafu hawana mamlaka yeyote juu yao walio hai.
Hivi wewe, wadhani jinsi watu siku hizi wamejaa roho mbaya na wanavyo wafanyia hiana wenzao. Si hao waliouliwa bila sababu wangeshaanzisha chama chao huko waje kuwafuata walio wapeleka huko kabla ya muda wao??
Muumba aliweka ukomo wa hilo. Kwanza kuna bonde kubwa sana kati ya walio hai na waliokufa. Hakuna roho iwezayo kuvuka na kurudi duniani. Nakataa. Wabongo wengi wangesharudi kwetu walipize visasi.
Chukulia hivi, Hakuna mtu ajuaye saa yake hivyo ikitokea coincidence unakuta tumeandikiwa saa inayo karibiana au saa moja. Mfano ni ajali. Jamaa yangu mmoja alikuwa anaendesha gari lenye familia yake. Mke na watoto 4 na yeye. Gari iliingia chini ya lori wakasagika wala hakuna aliyeweza kumtambua mtu. Jamaa alitolewa unconscious/hajitambui kwa wiki 3.
Tuliwazika wale wengine wote ila mtu akatoka na kuishi tena.
Nasemea saa ya kuitwa. Tulizika watu 4 siku moja. Huwezi sema ati mama aliwaita watoto wake wote siku hiyo. Kifo hakina saa wala siku ni muda wako ukifika. Kila sekunde kuna mtu anakufa mahali fulani.
Ruge na Efraim walikuwa marafiki ila hawawezi kuitana ili kufa pamoja. Mbona mmoja aliugua sana na mwingine hakuugua?? Tena ulivyo unganisha hicho kifo cha mkewe Ephraim na Ruge sio vizuri hata kidogo. Waweza kuwa ni rafiki yangu wa dam lakini nisikukute hata unamtoa mwiba shemejio akiwa hata sebuleni. Hapo napo umeniudhi. Wataka kuniambia kuwa huyo mdada alinini ati??
 
"Yaani mtu uliyeumbiwa wewe kuwa parner wako wa maisha ya kimwili na kiroho, hivyo mkifanya sex, sio tuu mnafanya tendo, bali mnaunganika na kuwa mwili mmoja in spiritual body, hivyo mahusiano ya hivi, mmoja akitangulia, yule aliyebaki duniani hawezi kuishi muda mrefu, atamfuata tuu mwenzake, na mapenzi yao yataendelea kwenye the spiritual world."


Hatari sana... ndiyo maana vifo vya ghafla nje nje... ngoja nikae kimya...


Cc: mahondaw
 

Nimeusoma huu uzi nikamaliza na sikuamini kama huyu ni Pasco. Ikabidi nirudi juu kuona kama ni yeye kweli au ni Mshana Jr
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…