Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Mhubiri 9:5Maandiko yanasema walio hai wanajua kuwa watakufa bali wafu hawajui chochote.Kwahiyo ni upagani kuamini kuwa wafu wanaweza kuwaita walio hai ili waungane nao kifoni.
Sent using Jamii Forums mobile app