Nenda kakae karibu na kilabu au baa kisha uangalie
mwendo anaotembea mlevi aliye lewa njwiiii...
basi ujue ndivyo hao wanawake wanavyokuwaga
baada ya kupigwa chaga.
Ni mazuri, inategemea umejipangaje..
Km umeshindwa toka tu mapema kabla ya matatizo .. vipimo bado havijaanza kufanya kazi muhimbili..
So usisubir kusumbua ndg zako kwenda india ..
Ni mazuri, inategemea umejipangaje..
Km umeshindwa toka tu mapema kabla ya matatizo .. vipimo bado havijaanza kufanya kazi muhimbili..
So usisubir kusumbua ndg zako kwenda india ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.