Siwezi kutuma picha kwa msukumo wa watu, huo ni upuuzi? Na why ufatilie habari za kipuuzi relax mkuu utajiongezea mapresha bure..nitatuma kwa hiari yangu ila sio kwa kulazimishwaSiwezi umizwa kwa Upuuzi huu Mkuu
.
Umeombwa utume picha mjadala uishe, we hutumi, Sas nani anaonekana Mpuuzi we na ndizimshale
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa...... Ndio huyo huyo parabora kwa id nyingine bwashee!Hahah wewe vipi ndiyo mke wake au secretary wake??
Uzi sio wako usinipangie.
Ndio mkuu usemacho ni kweli hata passport sinaHuyu jamaa hayupo ulaya manengelo, alikuwa anawajaza watu wajae awazime, hana hata passport
Sent using Jamii Forums mobile app
Dola inatumika karibu nchi zote dunian acha ushamba,kwan ukiwa na dola hutapata Huduma? Amekwambia kuwa sarafu ya Swiss ni dollars ? Kama hujawahi kusafiri tulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukunielewa halafu umeongea Kama umenielewa lakini siwezi kupiga picha kisa wewe umesema, RELAX mkuu hata nikiweka humu haitakusaidia kituYaani upige
picha ambayo sura yako haionekani halafu software ifanye ionekane!? Acha mzaha ndugu. Hivi upige picha ya kuanzia shingoni au kifuani kuelekea chini halafu software iweke sura! Wewe acha upimbi.
Ahahahh sawa nakuacha na ma'upuuzi' yako, ila utafika Kaka usiwazeSiwezi kutuma picha kwa msukumo wa watu, huo ni upuuzi? Na why ufatilie habari za kipuuzi relax mkuu utajiongezea mapresha bure..nitatuma kwa hiari yangu ila sio kwa kulazimishwa
Mkuu wapi nimesema natoa connection, ninachohakikisha mtu akifika hapa GENEVA nitampokeaSio wote wenye mentality na reasoning kama ya kwako. Fikiria pia na kundi la watu ambao hawana strong reasoning na wako desperate kwenda ughaibuni.
Mfano, in case kweli huyu jamaa alikuwa na nia ovu ya kutapeli wale watakaoomba 'connection' ya kusaidiwa kurahisishiwa 'mchakato' mzima wa kwenda ughaibuni, ni watu wangapi wangelizwa?
Inshu hapa sio kwamba eti kuchuja na kuchukua yale yanayokufaa na mengine kuachana nayo, la hasha!
The issue is... Je, hiyo pretending yake na kuaminisha watu kuwa yupo Ulaya ilihali hayupo huko, ingeleta athari gani kwa followers wake humu jf?
Na je, kama kweli hayupo huko Ulaya, unaamini vipi authenticity/reality ya taarifa anazotoa? What if watu waka-react na kuchukua hatua basing on his unreal info?
Pretending ya type hii, ukipima mzania, kwa jamii ya wasomaji ina madhara zaidi kuliko faida.
Na wale wote mnaotetea huu ujinga, you are either of unsound mind or compromised!
My common sense just aborts to support such cheap bullshtt.
-Kaveli-
Sawa ndugu niombee😃😃Ahahahh sawa nakuacha na ma'upuuzi' yako, ila utafika Kaka usiwaze
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hizi ishu za kujilipua ni ngeni humu mkuu? Yaan leo huyo parabora ndo akufanyie mishe wewe uende nje?? Mbona kuna nyuzi maalum kabisa humu za jinsi ya kufika huko?? Anakutapelije ?.kwamba umpe hela au? Poh!
Mkuu watu wa namna unatakiwa uwafanye wakuone wewe mjinga na wao wawe waelevu hapo ndio mtaelewana la sivyo mtabishana mileleMavi-jana ya Kitanzania ni mapumbavu yakipata ajira serikalini yanaanza kujimwambafay, hayajui sisi tulioko kwenye NGOs tunakula good time ile mbaya! Ukute hata kimshahara chenyewe laki 8 lakini majigambo sasa!
😄😄Mimi siombi mtu pesa, Kama yupo mwenye uthibisho huo alete RELAX mkuu utaumia bure, Kama unaona maandiko yangu hayakufai yapuuzeHoja yako haina mashiko.
Hata kama inshu za kujilipua sio ngeni humu jf, kwahiyo kila member aliyesoma na kuziamini nyuzi za Parabora ni mwenyeji humu jf? Je unafahamu jf inapata new members/readers wangapi on daily basis? Why unaamini kwamba jf members/readers wote ni wenyeji na wanazijua issues zote zinazojadiliwa humu?
Huamini na unauliza kwa mshangao kwamba huyo Parabora ndo amfanyie mtu mishe aende nje?!!! Maono yako yanagongana yenyewe kuhusu huyo Parabora. It seems huelewi unachokitetea na vile vile huelewi usichokitetea. Sasa ili uendelee kushangaa vyema, angalia/soma kwa makini kifuatacho kisha unieleze umegundua nini, na unijibu je Parabora anaweza ama hawezi kumfanyia mtu mishe ya kwenda nje??:
View attachment 1449374
Faking ya Parabora ni trap! Inatrigger wale walio desperate kujilipua ulaya waombe 'connection' ya kurahisishiwa 'mchakato'. Faking yake ina kila indicator ya kupiga watu hela. Na huwezi jua atakayeingia mtegoni ni nani, aweza kuwa kaka yako mwenye ndoto za kwenda Ughaibuni, au jamaa yako au mpendwa wako yeyote mwenye uroho wa kujilipua ng'ambo.
Use your free mind to think of this.
-Kaveli-
Hapana jamani, hakuna mtu ataelewa!