Mmea ni 'material' hauwezi kupambana ni 'spirits', kinachoweza kushindana na nguvu za kiroho za giza au za nuru ni Imani. Yaani maneno yanayotamkwa kwa kunuizwa ili yafanye jambo jema au baya kwa mtu au vitu, manuizo yale yanajengewa imani kwa 'sanamu' ya maua, mimea au aina flani za wadudu au wanyama wenye Sifa zinazolingana na kitendo unachotaka kufanya.Panda Mlonge kusunguka nyumba. Kiboko ya wanga.
Witch weed, nakumbuka enzi za agriculture. Manhot esculenta, Dativa sp.
Hilo gugu ni balaa likiingia shambani kwako, inakubidi uling'oe lingali changa halijatoa maua/mbegu na ulitie motoni.
Mpambano kiroho...mmmmmmh m mkuu ngoja wajuvi waje
Mkuu MziziMkavu kuna Mmea mwingine ambao huota hasa pembezoni mwa mito na chemchemi! Mmea huu uko kwa namna mbili mmoja unatoa maua yenye rangi ya dhahabu,na mwingine una maua mekundu yaliyokolea!! Na una miiba midogomidogo! Pia hutoa matunda madogo ambayo yakiiva huwa na rangi nyeusi!! Mkuu Mmea huu ni tool muhimu sana kwa wachawi!! Nakumbuka miaka ya 80's tukiwa peramiho ilipita operesheni ya kuiteketeza mimea hii!! Hata hivyo siku hizi imepungua sana! Nikipita mtoni nitaipiga picha nikutumie!
Mkuu weke picha ya hilo ua tulione,,cactus mkuu!
hope mshana ataelezea vizuri,kuna jamaa yangu ni mzungu m`italiano alinipa hizo skills kuwa niupande mbele ya nyumba,wachawi kwangu watakuwa wanapaona kama kwa baba mkwe,ni kweli tangu niupande sijawahi pata bughudha yeyote kutoka kwa walozi...
Sawa mkuu nimeliona ila hili lina miba kali sana, maeneo ya baridi linapatikana kwa wingi sana.
Madhara yake nini mkuuIla ina madhara hiyo
Kama kawa lazima tutishane kidogo.... Naona kitu kinakaribia kujifungua!

Naweza pata wapi hili ua?
Mshana Jr haya magugu ndo gugu chawi au haya Ni Aina ningine ya magugu?Shughuli yake hii hapaView attachment 509195
Hi nayo Nini Mkuu