Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Naona unawechezea ccm mindgames, pole ndugu yangu we piga hela za mzee tu lakini urais labda atumie nguvu ya dola na sio box la kura. Kila siku nawauliza huyo EL yuko bungeni, hatujawahi kuona mchango wake, lakini mnatuambia ni kiongozi mzuri wenzetu uzuri na ubora wake mnaunonea wapi? Hebu nitajie hata siku moja aliyowahi kuingia kwenye mjadala huru na akaulizwa maswali na kuyajibu kinagaubaga. Simply mzee hana huo uwezo bali anauchu wa madaraka na ndio maana analipa watu na vyombo vya habari ili aonekane anakubalika. Halafu hajui kwamba tabia hii ndio hiyo iliyotuingiza mkenge kwa JK mwaka 2005 tukiambiwa ni rais kijana na sura yake itapendeza kwenye noti. Leo hii mnatuona bonge ya mazuzu kwa mbinu zilezile za kizee.
Kwa kuongezea Lowassa ni mwenyekiti wa kamati ya katiba na bunge lakini vikao hauhudhurii ingawaje analipwa! Kamwachia fisadi mwenzie Ngeleja akaimu! Kwa sasa hahudhurii vikao anadai anaumwa lakini kujipigia debe mtaani haumwi. Uroho wa madaraka wa mzee fisi.