stanlthecreator
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 1,947
- 648
Lowasa ni mpango wa Mungu,ni vigumu sana kushindana na Mipango ya Allah
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka huu tu, 2020 si mbali lowassa akikosa, 2020 ndo atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa kuliko unavyodhani ,na nec iseje ikajidanganya kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka huu tu, 2020 si mbali Lowassa akikosa, 2020 ndo atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa kuliko unavyodhani ,na NEC iseje ikajidanganya kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...
Unadhani kwa akili yako Lowasa anaweja kuishi hata miaka mitatu mbele?
Lowasa ni mpango wa Mungu,ni vigumu sana kushindana na Mipango ya Allah
angalia usije ukafa ukamuacha yeye bado mzima
Unadhani kwa akili yako Lowasa anaweja kuishi hata miaka mitatu mbele?
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka huu tu, 2020 si mbali Lowassa akikosa, 2020 ndo atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa kuliko unavyodhani ,na NEC iseje ikajidanganya kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka huu tu, 2020 si mbali Lowassa akikosa, 2020 ndo atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa kuliko unavyodhani ,na NEC iseje ikajidanganya kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka huu tu, 2020 si mbali Lowassa akikosa, 2020 ndo atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa kuliko unavyodhani ,na NEC iseje ikajidanganya kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...[/
tusubiri tuone, hata kamati KUU inalijua hilo
kuacha kumchagua mtu mwenye nguvu ya umma na pesa na marafiki wakubwa ni jambo la hatari sana kwa nchi yeyote, isitoshe, ameshaonyesha nia, labda wangemzuia kabla, lakini sasa is too late.
Wamechelewa sana... Watu wengi wanawazia mwaka huu tu, 2020 si mbali Lowassa akikosa, 2020 ndo atakuwa kashaanzisha chama chake mwenyewe.
Lowassa ana mbinu za sasa na baadaye, anajua siasa kuliko unavyodhani ,na NEC iseje ikajidanganya kumwacha. Kwani kiongozi ajaye atakuwa na wakati mgumu sana, anyway muda utaamua. Yetu macho...