chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
LHRC, natofautiana nanyi! Suluhu siyo kuandamana ila ni kuwafungulia mashtaka WOTE waliohusika na sarakasi hii ya DOWANZI? RICHMOND! Wanajulikana, kama hamuwajui wasilaneni na kampuni ya HaliHalisi. Wana ushahidi wote, wameundika kwenye magazeti yao na ukweli huo haujakanushwa! Tutumie SHERIA kuwashinda KISHERIA kwani wao walitumia SHERIA (ya mikataba ya ki Mangungo), na wakashinda kesi ICC KISHERIA na Mahakama zetu KISHEIA, zimeshindwa kutengua malipo hayo kwani yapo KISHERIA!