LHRC yaitisha Maandamano nchi nzima kupinga malipo ya DOWANS

LHRC, natofautiana nanyi! Suluhu siyo kuandamana ila ni kuwafungulia mashtaka WOTE waliohusika na sarakasi hii ya DOWANZI? RICHMOND! Wanajulikana, kama hamuwajui wasilaneni na kampuni ya HaliHalisi. Wana ushahidi wote, wameundika kwenye magazeti yao na ukweli huo haujakanushwa! Tutumie SHERIA kuwashinda KISHERIA kwani wao walitumia SHERIA (ya mikataba ya ki Mangungo), na wakashinda kesi ICC KISHERIA na Mahakama zetu KISHEIA, zimeshindwa kutengua malipo hayo kwani yapo KISHERIA!
 
LHRC, natofautiana nanyi! Suluhu siyo kuandamana ila ni kuwafungulia mashtaka WOTE waliohusika na sarakasi hii ya DOWANZI? RICHMOND! Wanajulikana, kama hamuwajui wasilaneni na kampuni ya HaliHalisi. Wana ushahidi wote, wameundika kwenye magazeti yao na ukweli huo haujakanushwa! Tutumie SHERIA kuwashinda KISHERIA kwani wao walitumia SHERIA (ya mikataba ya ki Mangungo), na wakashinda kesi ICC KISHERIA na Mahakama zetu KISHEIA, zimeshindwa kutengua malipo hayo kwani yapo KISHERIA!
Walikwenda mahakamani lakini wakashindwa au umesahau LHRC waliweka pingamizi la malipo haya ya Dowans? Halafu maandamano siyo vurugu endapo yatafuata taratibu zote zinazotakiwa ikiwa ni pamoja na kupata kibali.
 
Kila raia mwenye kuitakia nchi yetu mambo mema bila shaka atayaunga mkono maandamano.Napendekeza marekebisho kidogo.Maandamano yalenge kupinga malipo ya Dowans,Yalenge kushinikiza uwajibikaji wa walioshiriki uingiaji wa mkataba,Yalenge kuishinikiza serekali kukamata mali za wamiliki wa Dowans na mwisho maandamano yasiwe na ukomo hadi madai yote yametekelezwa bila kuruka kipengele hata kimoja.




Kituo cha haki za binadamu kimeitisha maandamo nchi nzima kuitaka serikali isilipe tuzo ya tzs 111bil kwa dowans, wanaharakati hao wamesema maandamo yatkwenda siku kumi mfululizo iwapo serikali itashindwa kutoa tamko juu ya malipo hayo!

Wamewaomba wananchi kuvaa nguo nyeusi na kujifunga bendera ya nchi kichwani kuashiria maombolezo juu ya yale yanayofanyika nchini!

Mama Ananilea Nkya amesema nchi yetu haina deni, na hizi pesa ni zawadi au charges kwa kuvunja mkataba ambao haukuwa na nguvu kisheria!

WARATIBU WA HAYO MAANDAMO NADHANI WATATUELEZA WAPI TUNAANZIA NA KUISHIA!

NAOMBA TUENDELEE KUPASHANA HABARI NA TUTOKE MAJUMBANI KWETU NA KUTETEA HAKI YETU NA KUPINGA MAMBO YOTE YA HOVYOHOVYO! HATIMA YA NCHI IKO MIKONONI MWETU KWANI VIONGOZI TULIOWAAMNI WAMESHINDWA KUTUFANYIA TULIYOWATUMA!

NAWASILISHA!
 
Countrywide protest against Dowans award Irenei Kiria, the Executive Director of Sikika urged people to dress in black colour for ten days, in memory of the 12th anniversary of Mwalimu Julius Nyerere's death.Seven Non-Governmental Organizations (NGOs) and human rights activists have planned countrywide demonstrations for ten days from Friday, protesting payment of 94bn/- award to Dowans.The Legal and Human Rights Centre (LHRC), Sikika and Hakielimu said in Dar es Salaam yesterday they will take part in the demonstrations. Others are, TAMWA, TGNP, H.D.T and ED-AP200 .Speaking to reporters, on behalf of other activists, Mr Irenei Kiria, the Executive Director of Sikika urged people to dress in black colour for ten days, in memory of the 12th anniversary of Mwalimu Julius Nyerere's death."I urge all Tanzanians to pray to God throughout the weekend, to give us the strength and patriotism we need to defend our country's riches," said Mr Kiria.He said some people could be beneficiaries of the payments and wondered who could be on the ‘payroll.'"The contract between Tanesco and Dowans was void because it was executed even before the company had been officially registered. Some issues are not yet clear "who is Dowans and why is the government so keen to pay the money?" Mr Kiria wondered. Mr Kiria said the NGOs' stand is that the government should not pay Dowans at all."There is need for the government to implement the 23 parliamentary resolutions showing the entire process leading to the Dowans award, said Mr Kiria, adding that next time the government plans to enter into any contract, it should involve both the parliament and the public.By JULIUS BWAHAMA, Tanzania Daily News

Haya malipo ya Dowans yanawahishwa ili kupata fedha za kusherehekea kifo cha mpambanaji Mwakyembe nini? Tusipoangalia na kukataa kwa pamoja watazikwa wote mmoja mmoja!!!!
 
LHRC, natofautiana nanyi! Suluhu siyo kuandamana ila ni kuwafungulia mashtaka WOTE waliohusika na sarakasi hii ya DOWANZI? RICHMOND! Wanajulikana, kama hamuwajui wasilaneni na kampuni ya HaliHalisi. Wana ushahidi wote, wameundika kwenye magazeti yao na ukweli huo haujakanushwa! Tutumie SHERIA kuwashinda KISHERIA kwani wao walitumia SHERIA (ya mikataba ya ki Mangungo), na wakashinda kesi ICC KISHERIA na Mahakama zetu KISHEIA, zimeshindwa kutengua malipo hayo kwani yapo KISHERIA!
Kwanini visifanyike vyote viwili ...kuandamana na kuwafungulia mashitaka..!?
 
Yatakuwa dsm tuu au nchi nzimaaaaaaaaaa!
Nina hamu na mabomu ya machozi!
 
ndugu zangu kwa wale wenye mali, tujaribu kuacha kabisa barua za urithi kwenye familia zetu.

Uwezi kujua kama tutarudi salama baada ya maandamo kama mnavyojua askari wetu na ffu.

Tujitokezeni kwa wingi vifo vya wengi ni harusi
haya ni maandamano ya woote ikiwemo na hao polisi kwani wenyewe ndo wakuua ndugu zao na kuishia kukaa kwenye magofu huku b 111 zikipotea bure hapo kuna nyumba ngapi za hao polisi!
 
Hivi huyu Masoud amewahi kuleta mabadiliko gani Chadema? Au ndiyo yale mambo yetu ya kiswahili ooooh marehemu alikuwa mzuri sana ooooh marehemu alikuwa anmpenda sana mke wake kumbe marehemu mwenyewe alikuwa chapombe kila siku anatukana watu hadharani.
pamoja na yote hakustahili adhabu ya kikatili namna ile!
 
Mlima gani kuna milima mingi Kitonga, Sekenke, Nyashana, fafanua baada ya kutoka Mlimani wapi?[/QUOTE
Mlimani ni lugha ya kitaluuma zaidi, uwezi helewa kwasababu uko kijijini na kadi yako ya CCM mfukoni. Mlimani ni mahali pajulikanapo kwa chimbuko la mawazo mapya na kizazi chenye maono (UDSM-main campus). Umeelewa sasa, au upo msituni kitonga ukivuna magogo ya wizi. ahahhaaaa
 
Sidhani kama hayo maandamano yatafanikiwa coz watu hawaifahamu hiyo LHRC ndiyo kitu gani: Nashauri waya binafsishe kwa cdm zen waone peoples power ilivyo na nguvu, ten days mfululizo? ****** aweza kimbia pale magogoni walahi
 
Mlima gani kuna milima mingi Kitonga, Sekenke, Nyashana, fafanua baada ya kutoka Mlimani wapi?[/QUOTE
Mlimani ni lugha ya kitaluuma zaidi, uwezi helewa kwasababu uko kijijini na kadi yako ya CCM mfukoni. Mlimani ni mahali pajulikanapo kwa chimbuko la mawazo mapya na kizazi chenye maono (UDSM-main campus). Umeelewa sasa, au upo msituni kitonga ukivuna magogo ya wizi. ahahhaaaa

Ha! Ha! Ha! Ha!
 
Huyo ritz mwacheni anaweweseka make very soon kitumbua kitaingia mchanga!muda wa kulea uozo umekwisha, maandamano hadi watwambie pesa tunamlipa nani na kwa lipi!nani mkuregenzi dowans tanzania?walijiona wajanja kutuingiza kule lakini najua ipo siku watakimbia nchi kwa nguvu ya umma!
 
Hayo mashirika yaliyoungana yahakikishe wanaweka vipindi vingi vyakutosha kwenye tv redio na magazeti, waTZ wengi zaidi wasikie ufedhuli uliofanywa na viongozi na makusudi yakuandaman na madhara ya kukaa kimya. Knowlege is power. Lets educate uma wa Tz. Its time to stand for our rights.
 
111 bilioni ni sawa na madawati 2,200,000 kwa bei tsh 50,000 dawati moja . Hapo utakuwa umewaokoa wanafunzi zaidi ya milioni sita adhabu ya kukaa sakafuni . Wizi uzembe wa kiwango hiki haukubaliki kamwe.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom