Safi sana. Tena nina hamu sana na maandamano maana toka nimeondoka Mlimani mwaka 2007 sijawai kuandamana. Jamani kwa wale ambao ni wageni wa maandamano tunawakumbusha kubeba chupa zenye maji kukabiliana na polisi kama wakifyatua yale mabomu yao ya machozi.
Safi sana. Tena nina hamu sana na maandamano maana toka nimeondoka Mlimani mwaka 2007 sijawai kuandamana. Jamani kwa wale ambao ni wageni wa maandamano tunawakumbusha kubeba chupa zenye maji kukabiliana na polisi kama wakifyatua yale mabomu yao ya machozi.