Kituo cha haki za binadamu kimeitisha maandamo nchi nzima kuitaka serikali isilipe tuzo ya tzs 111bil kwa dowans, wanaharakati hao wamesema maandamo yatkwenda siku kumi mfululizo iwapo serikali itashindwa kutoa tamko juu ya malipo hayo!
Wamewaomba wananchi kuvaa nguo nyeusi na kujifunga bendera ya nchi kichwani kuashiria maombolezo juu ya yale yanayofanyika nchini!
Mama Ananilea Nkya amesema nchi yetu haina deni, na hizi pesa ni zawadi au charges kwa kuvunja mkataba ambao haukuwa na nguvu kisheria!
WARATIBU WA HAYO MAANDAMO NADHANI WATATUELEZA WAPI TUNAANZIA NA KUISHIA!
NAOMBA TUENDELEE KUPASHANA HABARI NA TUTOKE MAJUMBANI KWETU NA KUTETEA HAKI YETU NA KUPINGA MAMBO YOTE YA HOVYOHOVYO! HATIMA YA NCHI IKO MIKONONI MWETU KWANI VIONGOZI TULIOWAAMNI WAMESHINDWA KUTUFANYIA TULIYOWATUMA!
NAWASILISHA!
Wamewaomba wananchi kuvaa nguo nyeusi na kujifunga bendera ya nchi kichwani kuashiria maombolezo juu ya yale yanayofanyika nchini!
Mama Ananilea Nkya amesema nchi yetu haina deni, na hizi pesa ni zawadi au charges kwa kuvunja mkataba ambao haukuwa na nguvu kisheria!
WARATIBU WA HAYO MAANDAMO NADHANI WATATUELEZA WAPI TUNAANZIA NA KUISHIA!
NAOMBA TUENDELEE KUPASHANA HABARI NA TUTOKE MAJUMBANI KWETU NA KUTETEA HAKI YETU NA KUPINGA MAMBO YOTE YA HOVYOHOVYO! HATIMA YA NCHI IKO MIKONONI MWETU KWANI VIONGOZI TULIOWAAMNI WAMESHINDWA KUTUFANYIA TULIYOWATUMA!
NAWASILISHA!