LHRC Walaani RC Makonda Kuvamia Clouds Media, Wamtaka Rais Magufuli Amwajibishe

~~~>>>Makonda anapaswa kuondolewa kwa nguvu ya Umma......

~~~>>>Kwakuwa mkuu wa nchi ameshindwa kumtumbua nasema kuwa wananchi kwa Umoja wetu tutamtumbua tu huyu kijana...

~~~~~>>>>Subirini
 

Kituo cha sheria na haki za binadamu kupitia kwa mkurugenzi wake mkuu, Dk Helen Kijo-Bisimba amesema wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za RC Makonda kuingia ofisi za Clouds Media akiwa na askari wenye silaha.
Bisimba ametoa wito kwa Serikali imchukulie hatua za kinidhamu na kijinai mkuu huyo wa mkoa.


Dr Bisimba alimpa kura Magufuli?? Sialikuwa UKAWA na ofisi yake yote?? Atuachie Rais wetu mpendwa amuache kabisa!! Sisi tuliempa kura tunamuela Rais aendelee kuchapa kazi UKAWA waache walielie tu na 2020 tunampa kura zetu tena!!
 

Kituo cha sheria na haki za binadamu kupitia kwa mkurugenzi wake mkuu, Dk Helen Kijo-Bisimba amesema wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za RC Makonda kuingia ofisi za Clouds Media akiwa na askari wenye silaha.
Bisimba ametoa wito kwa Serikali imchukulie hatua za kinidhamu na kijinai mkuu huyo wa mkoa.

Dr Kijo-Bisimba acha unafiki wako wa kuwatumikia Wafadhili wa LHRC. Yeye mbona hawasikilizi Watu waliofungwa kwa kukosa msaada wa kisheria na sasa wanaozea jela. Anang'ang'ania na yeye atoke vipi kwenye show ya Bashite sababu anajua inauza kitaa.
 
Bora sizonje afute vyama vya siasa afute bunge afute sijui haki za binadamu afute katiba atangaze hali ya hatari then atangaze kuwa yeye ndiye mfalme wa kwanza tanzania. Maana anayofanya ni kama hakuna bunge hakuna mahakama hakuna wananchi
 
Mange na GWAjima walimpigia kura?Dar walimpa kura ngapi?.Sisi tuliompa kura anatusikiliza....mama endelea kula fedha za wazungu halafu ucheue..

ona mnavyojiaibisha sasa raisi anatakiwa kumsikiliza kila mtu haijalishi amempigia kura au la ama Ni chama pinzani

nchi haiendeshwi kwa style hio ata siku moja
 
Rais wangu,
Nadhani kama ilivyo kawaida ya wapambe na watu walio karibu na mfalme hunena "yanayompendeza" tu mfalme.

Huenda wakawa wanakuambia unakubalika sana, unaaminika na unatisha. na huenda wanaenda mbali kwa kukudanganya kuwa ni "kelele" tu za mitandao ya kijamii lakini bado unapendwa.

Ukweli makundi yote yanakusema vibaya, wafanyabiashara, wafanyakazi, wakulima nk.

Kwa Sasa nchi iko ktk sintofahamu, watu wanashindwa kujua kesho yao. tafadhali amini hili japo linauma.

Uchumi mbovu, kukosekana kwa ajira, mishahara hafifu, mamilioni ya vijijini, uhuru wa bunge, kauli za ubabe, kutotoa fursa sawa za kidemokrasia baina ya vyama shindani ni miongoni mwa kero za huku mtaani

Najua hupendi kuamriwa wala kuambiwa ukweli wa aina hii, na pia mitandao ya kijamii kwako si mizuri(kwa maneno yako)

Ila nami nisipokuambia ukweli nahisi kupungukiwa jambo.
Huna lolote wewe sisi tuliempa kura ndo tunamsikiliza sio nyinyi Chagadema!!
 
ona mnavyojiaibisha sasa raisi anatakiwa kumsikiliza kila mtu haijalishi amempigia kura au la ama Ni chama pinzani

nchi haiendeshwi kwa style hio ata siku moja

Rais hawezi kusikiliza wanaosema pumba! Na udaku kama huyo Dr.
 
Huyu mama nae.Rais anafanya kazi kutimiza ahadi zake,hana muda wa kuwasikiliza akina Salary Slip na majungu yao
 
Back
Top Bottom