wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,465
- 2,079
Serikali imchukulie hatua gani sasa?? inamaana hajamsikia raisi jana kasemaje? Kuna walio juu ya sheria na walio chini ya sheria hilo lieleweke.
Kituo cha sheria na haki za binadamu kupitia kwa mkurugenzi wake mkuu, Dk Helen Kijo-Bisimba amesema wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za RC Makonda kuingia ofisi za Clouds Media akiwa na askari wenye silaha.
Bisimba ametoa wito kwa Serikali imchukulie hatua za kinidhamu na kijinai mkuu huyo wa mkoa.