Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wana Jf, Heshima kwenu nyote.
Mimi ni muajiriwa kwenye kampuni ya private. Ninajituma sana kwenye kazi, na huwa niko proactive kwenye kupanga mambo yangu ya kikazi. Huwa sipendi mambo yatokee kwa surprise afu nianze ku react kutafuta soln.
Bidii imenifanya niweze kupitia levels mbali mbali za kikazi kwenye management ya kampuni.
Tatizo linakuja pale ambapo huwa ninaanza kutafakari hatima ya maisha yangu. Huwa sikubaliani na wazo la kufanya kazi mpaka nistaafu. Huwa najiuliza, hivi nikiamua kufanya shughuli yangu mwenyewe ( hasa biashara) sitatoka kimaisha kutokana na bidii yangu? Nilishawahi fanya biashara fulani ambayo ilikuwa inalipa sana, tatizo lilikuja kwenye supervision .....most of the time nakuwa kazini. Na kama mnavojua watu sio waaminifu, basi ile biashara ilikuja ikafa.
Naombeni yeyote mwenye experience ya kuajiriwa kisha kuamua kuacha kwa hiari na kwenda kujiajirii atusaidie kutuelezea ilikuwaje akafikia uamuzi huo?
Mambo mengine kama vile "Kujipanga kwanza kabla ya kuacha kazi ..yapo kwenye mchakato tayari".
shukrani
Mimi ni muajiriwa kwenye kampuni ya private. Ninajituma sana kwenye kazi, na huwa niko proactive kwenye kupanga mambo yangu ya kikazi. Huwa sipendi mambo yatokee kwa surprise afu nianze ku react kutafuta soln.
Bidii imenifanya niweze kupitia levels mbali mbali za kikazi kwenye management ya kampuni.
Tatizo linakuja pale ambapo huwa ninaanza kutafakari hatima ya maisha yangu. Huwa sikubaliani na wazo la kufanya kazi mpaka nistaafu. Huwa najiuliza, hivi nikiamua kufanya shughuli yangu mwenyewe ( hasa biashara) sitatoka kimaisha kutokana na bidii yangu? Nilishawahi fanya biashara fulani ambayo ilikuwa inalipa sana, tatizo lilikuja kwenye supervision .....most of the time nakuwa kazini. Na kama mnavojua watu sio waaminifu, basi ile biashara ilikuja ikafa.
Naombeni yeyote mwenye experience ya kuajiriwa kisha kuamua kuacha kwa hiari na kwenda kujiajirii atusaidie kutuelezea ilikuwaje akafikia uamuzi huo?
Mambo mengine kama vile "Kujipanga kwanza kabla ya kuacha kazi ..yapo kwenye mchakato tayari".
shukrani