Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,105
- 2,499
Jumapili nimeamkia salama kabisa namshukuru Mungu, church nimehudhuria kama kawa, nimerudi nimefungua jf kuchungulia nipate mawili matatu, ila kwa lunch ya mchana bado sijapata ila nimepanga kukandamiza ugali dagaa siku ipendeze, kwema lakini huko mliko wakuu?