Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,374
- 22,992
As long as ulimuoa akiwa na akili timamu, hauruhusiwi kuvunja ndoa.Mwenzi wako akiugua uchizi( ugonjwa wa akili kwa zaidi ya miaka miatatu ) je!! Bado hauruhusiwi kuvunja ndoa hii na kuoa aubkuolewa na mwengine??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka wakati wa kuoana uliapa kumpenda kwenye shida na raha, afya na magonjwa.
Hakuna sababu nyingine, tofauti na kifo, inayoweza kuvunja ndoa.








