Watu wengi wanamtazama Samwel Doe kwa ubaya tu lakini naomba niwajulishe kuwa katika nchi inayo ongoza kwa wingi wa maraisi ni Liberia lakini katika hao wote ni Doe pekee ndie aliekuwa mzawa halisi wengine wote ni wageni waliopandikizwa na Marekani,uchumi kipindi cha Doe ulipanda na mpaka leo ukienda Monrovia majengo makubwa ya serikali yalijengwa kipindi cha Doe.Doe alitolewa kwa mpango maalumu ili Helen aingie madarakani na aliefanya kazi ni Chales Teila ila alipomtoa akajitangaza yeye kuwa rais,na ndio maana na yeye alitolewa I'll azima ya kumuweka mama madarakani,someni ka historia