Leo zamani (kabrasha la kumbukumbu)

Leo zamani (kabrasha la kumbukumbu)

Mshana Jr
Salaam.
Ulipotuma picha za matukio ya Sept 11, picha moja ya jengo lililokuwa likiungua (could be the WTC) ilikuwa na picha ya binadamu kwenye moshi ulokuwa ukifuuka. Unaweza kutupatia kaufafanuzi kidogo Kaka?
Nk myth za wazungu kwakuwa walikuwa hawaamini kuwa yale majengo yangeweza kupata ile dhahama lakini pia kwenye mioshi mioto vimbunga kiza na hata mawingu
 
Samwel Do alinitia huruma sana dakika za mwisho
Alitoka kama alivyoingia. Mapinduzi yaliandaliwa na makamanda wa jeshi. Yeye akiwa sajenti akatumwa kwenda ikulu kutekaleza mauaji ya rais tolbert. Alipofanikiwa akarudi kuripoti mafanikio kwa makamanda wake, kinuyume chake akawaua wote, akachukua nchi.
Alipoulizwa baadaye kwa nini amenenepa alijibu kuwa MUNGU aliumba wafupi na warefu, hakuumba wembaba na wanene.
 
Alitoka kama alivyoingia. Mapinduzi yaliandaliwa na makamanda wa jeshi. Yeye akiwa sajenti akatumwa kwenda ikulu kutekaleza mauaji ya rais tolbert. Alipofanikiwa akarudi kuripoti mafanikio kwa makamanda wake, kinuyume chake akawaua wote, akachukua nchi.
Alipoulizwa baadaye kwa nini amenenepa alijibu kuwa MUNGU aliumba wafupi na warefu, hakuumba wembaba na wanene.
Duuu hilo jibu la mwisho kiboko kumbe madikteta wote wanafanana majibu
 
Mshana Jr
Salaam.
Ulipotuma picha za matukio ya Sept 11, picha moja ya jengo lililokuwa likiungua (could be the WTC) ilikuwa na picha ya binadamu kwenye moshi ulokuwa ukifuuka. Unaweza kutupatia kaufafanuzi kidogo Kaka?
Hakuwa mtu mmoja. Ukumbuke ndege zilipiga magorofa ya chini kidogo. Hivyo watu waliokuwa magorifa ya juu walioosikia joto zaidi walikuwa wanaruka. Mtu anaruka kutoka gorofa ya 100 lakini hajui atafikaje chini. Kwa kuwa kamera zilikuwa mbali ndio unaona watu kama ndege tu
 
Nimeukuta huu Uzi juju naomba nirudi tar ya Jana 11/9/1987 hii ni Siku maarufu kwa ragae roots,mwanamziki mashuhuri wa mziki wa ragae PETER TOSH alipigwa risasi na kufariki shambulio lililofanywa nyumbani kwake na Rafiki yake kipenzi LEPO ,inaniuma saana
 
Nimeukuta huu Uzi juju naomba nirudi tar ya Jana 11/9/1987 hii ni Siku maarufu kwa ragae roots,mwanamziki mashuhuri wa mziki wa ragae PETER TOSH alipigwa risasi na kufariki shambulio lililofanywa nyumbani kwake na Rafiki yake kipenzi LEPO ,inaniuma saana
Asante kwa nyongeza
 
Watu wengi wanamtazama Samwel Doe kwa ubaya tu lakini naomba niwajulishe kuwa katika nchi inayo ongoza kwa wingi wa maraisi ni Liberia lakini katika hao wote ni Doe pekee ndie aliekuwa mzawa halisi wengine wote ni wageni waliopandikizwa na Marekani,uchumi kipindi cha Doe ulipanda na mpaka leo ukienda Monrovia majengo makubwa ya serikali yalijengwa kipindi cha Doe.Doe alitolewa kwa mpango maalumu ili Helen aingie madarakani na aliefanya kazi ni Chales Teila ila alipomtoa akajitangaza yeye kuwa rais,na ndio maana na yeye alitolewa I'll azima ya kumuweka mama madarakani,someni ka historia
 
Watu wengi wanamtazama Samwel Doe kwa ubaya tu lakini naomba niwajulishe kuwa katika nchi inayo ongoza kwa wingi wa maraisi ni Liberia lakini katika hao wote ni Doe pekee ndie aliekuwa mzawa halisi wengine wote ni wageni waliopandikizwa na Marekani,uchumi kipindi cha Doe ulipanda na mpaka leo ukienda Monrovia majengo makubwa ya serikali yalijengwa kipindi cha Doe.Doe alitolewa kwa mpango maalumu ili Helen aingie madarakani na aliefanya kazi ni Chales Teila ila alipomtoa akajitangaza yeye kuwa rais,na ndio maana na yeye alitolewa I'll azima ya kumuweka mama madarakani,someni ka historia
Mhh
 
Watu wengi wanamtazama Samwel Doe kwa ubaya tu lakini naomba niwajulishe kuwa katika nchi inayo ongoza kwa wingi wa maraisi ni Liberia lakini katika hao wote ni Doe pekee ndie aliekuwa mzawa halisi wengine wote ni wageni waliopandikizwa na Marekani,uchumi kipindi cha Doe ulipanda na mpaka leo ukienda Monrovia majengo makubwa ya serikali yalijengwa kipindi cha Doe.Doe alitolewa kwa mpango maalumu ili Helen aingie madarakani na aliefanya kazi ni Chales Teila ila alipomtoa akajitangaza yeye kuwa rais,na ndio maana na yeye alitolewa I'll azima ya kumuweka mama madarakani,someni ka historia
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]asante umeongea kitu ambacho wengi hawakijui nikiwa mmoja wapo ngoja nitafuatilia
 
Samwel Doe alikuwa askari mwenye cheo kidogo kilicho tokea wakati mapinduzi yamefanyika yeye alikuwa nije analinda akaja mwenzie kutoka ndani na kumuambia wenzio wanagawana nchi ndani ikawa kama amempandisha mzuka,hapo ndipo Doe alipo ingia ndani na kuwafyatulia risasi na yeye kujitangaza kuwa raisi na slogani yake ilikuwa mimi ni rais mzawa tuachane na wakongo yaani wakuja kipindi hicho Chales Tyler alikuwa amefungwa marekani.

Hapo sasa huyu mama wa sasa akaulizwa na marekani asaidiwe vipi kuingia ikulu,akasema yeye hamuwezi Doe hivyo mtoeni Tyler wamarekani wakamtoa na wakatangaza Tyler katoroka,Tyler akarudi Liberia akaendesha kapeni ya kumtoa Doe ili Helen ashike madaraka alipofanikiwa na yeye akajitangaza kuwa rais,mama akaomba msaada tena marekani kumtoa Tyler hapo unaona sisi waafrika tunagombanishwa na mataifa ya nje.

Liberia ni moja ya nchi ambazo hazikutawaliwa pamoja na Ethiopia,Liberia ndio nchi ambayo waafrika waliokuwa utumwani walirudishwa na kufikishiwa hopo kabla ya kusambazwa kila mtu kwao huo mpango ukafa wakajikuta wamekuwa hapo,mpaka leo wanatambuana wazawa na wasio wazawa usiku mwema
 
5: Leo ni tar 13/9 Siku ya 257 bado siku 109 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya leo kitaifa
-1990 katibu mkuu wa ccm marehemu Kolimba asema ukiritimba wa ccm umekwisha hivyo wana ccm wana uhuru zaidi wa kujiletea maendeleo bila misuli na ruhusa ya chama

Kimataifa
- 2000 ni siku ambayo taifa la Palestine lingetangazwa
-1997 mazishi ya mama Theresa wa Calkuta aliyefariki tar 5/9..hivi karibuni katangazwa mtakatifu
 
Back
Top Bottom