4: Matukio ya leo tarehe 12/9 Siku ya 255 bado siku 1o9 kumaliza mwaka 2016
-kitaifa
1998 rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi awa mgeni rasmi kwenye kumbukumbu ya kutimiza miaka 100 tangu kifo cha chifu Mkwawa
1964 ujenzi wa bwawa la nyumba ya Mungu ulianza rasmi, bwawa hilo liko mkoani kilimanjaro na shughuli zake ni kufua umeme na uvuvi
-kimataifa
2003 Paul Kagame aapishwa rasmi kama rais wa Rwanda kupitia chama chake cha RPF, huo ndio ulikuwa uchaguzi wa kwanza tangu mauaji ya kimbari
1977 kifo cha mwana harakati wa haki za weusi Steve Biko huko Africa kusini alifia gerezani inasemekana kutokana na mateso ya askari jela wa kizungu