Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,644
- 860,887
Tunaanza rasmi leo tarehe 9/9/2016
Kila siku ina tukio lake kwenye historia ya dunia...nilitamani siku nyingi tuwe na kitu kama hiki kama ilivyo kwa redio Tumaini...kule photos kuna kitu kama hiki kinatukumbusha mengi sana...lakini kwenye habari za kawaida hatuna
Nitajitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kuweka kila siku matukio yaliyotokea tarehe na mwezi kama leo
1:9/9/1990 ndio ilikuwa siku ambayo alipinduliwa na kuuwawa kikatili aliyekuwa rais wa Liberia marehemu Samuel Doe
Matukio mengine ya tarehe ya leo -kumbukumbu ya kifo cha Mao zhe Dong rais wa china mwaka 1976
-Kuzaliwa kwa James Siang'a raia wa Kenya aliyekuwa kocha maarufu wa Simba
☆☆☆Kesho nitaendelea nakaribisha na wengine pia wanaopenda historia waweke matukio wanayoyajua
Kila siku ina tukio lake kwenye historia ya dunia...nilitamani siku nyingi tuwe na kitu kama hiki kama ilivyo kwa redio Tumaini...kule photos kuna kitu kama hiki kinatukumbusha mengi sana...lakini kwenye habari za kawaida hatuna
Nitajitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kuweka kila siku matukio yaliyotokea tarehe na mwezi kama leo
1:9/9/1990 ndio ilikuwa siku ambayo alipinduliwa na kuuwawa kikatili aliyekuwa rais wa Liberia marehemu Samuel Doe
Matukio mengine ya tarehe ya leo -kumbukumbu ya kifo cha Mao zhe Dong rais wa china mwaka 1976
-Kuzaliwa kwa James Siang'a raia wa Kenya aliyekuwa kocha maarufu wa Simba
☆☆☆Kesho nitaendelea nakaribisha na wengine pia wanaopenda historia waweke matukio wanayoyajua