ongeza tajiri wa JF papaa Tajiri Sina BAYA mutu ya pesa anakuja kulipa akiwa ndani ya Cadillac Escalade na watoto wazuri kina Mama Ndege. Ongeza vitu kula bia kula biaa.Nadaiwa niongezee beer apa
Jirani mkorofi sanaongeza tajiri wa JF papaa Tajiri Sina BAYA mutu ya pesa anakuja kulipa akiwa ndani ya Cadillac Escalade na watoto wazuri kina Mama Ndege. Ongeza vitu kula bia kula biaa.
Mbona sielewi elewi
Unanitisha sana ujueHaha sio sana
Tutaongea kesho jirani ninalala mida hiinjoo room tuongee
😂😂😂 ifike hatua sasa jf iwe inatoa Kadi maalumu kwa wanachama wake hii itanisaidia sana kwani nitakuwa natangaza nchi nzima kwamba mtu akiingia na Kadi ya Jf bar apewe kila kitu, malipo itakuwa ni juu yangu Tajiri Sina BAYA.ongeza tajiri wa JF papaa Tajiri Sina BAYA mutu ya pesa anakuja kulipa akiwa ndani ya Cadillac Escalade na watoto wazuri kina Mama Ndege. Ongeza vitu kula bia kula biaa.
Hamu ngumuhamu ya kumtoa CCM madarakan
Unaweza kuona mzaha kumbe mtu yuko kweli EthiopiaKaka nipo mtaa wa Ethiopia nielekeze huyo mchumba ako anakaa nyumba namba ngapi nikuletee mtaani kwako
Hili liingizwe kwenye katiba mgombea urais Mhe. Dennis Robert Shughuru akiingia madaraka, aanze nalo.ifike hatua sasa jf iwe inatoa Kadi maalumu kwa wanachama wake hii itanisaidia sana kwani nitakuwa natangaza nchi nzima kwamba mtu akiingia na Kadi ya Jf bar apewe kila kitu, malipo itakuwa ni juu yangu Tajiri Sina BAYA.
NO REFORMS, NO ELECTION.Kwema, salamu zisiwe nyingi.
Twende kazi una hamu ya kitu gani leo?
Haki kupatikana chini ya jua ni changamoto kubwa, inahitaji nguvu kubwa sana kupata haki, ndio maana muasisi wa NRNE yupo rumande, haki inakuja tusubiri wakati utafika.NO REFORMS, NO ELECTION.
HAKI huinua Taifa, HAKI ni Tunda la amani.
Haaahaa 😊 😅 😅 anakalibishwa kwa nguvuumcheki min -me & Dr am 4 real PhD
😂😂😂 kwani anataka kuwania Urais kupitia chama gani huyu kiongozi wetu?Hili liingizwe kwenye katiba mgombea urais Mhe. Dennis Robert Shughuru akiingia madaraka, aanze nalo.