Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,423
- 54,876
Tatizo mkuu wewe nyuma yako kuna tag la watu wanakupotosha wanasema unashirikiana na tapeli😀 😀 😀 hujanitag kwenye uzi wowote mkuu hata wa YAKUZ ukanisahau!
Tatizo mkuu wewe nyuma yako kuna tag la watu wanakupotosha wanasema unashirikiana na tapeli😀 😀 😀 hujanitag kwenye uzi wowote mkuu hata wa YAKUZ ukanisahau!
Mimi na hamu ya kula muhindiLeo na hamu ya kucheza PS5.
Nifungashie kwenye TILISHO😅😅Haha njoo sahivi msimu wa kuchoma kabla hayajakomaa sana.
Ni basi hilo la Moshi😀 hio TILISHO ni nini dada?
Kutafuno katoto kabichi yaani ka underage!Kwema, salamu zisiwe nyingi.
Twende kazi una hamu ya kitu gani leo?
We jirani unataka kunieleza nini huko secret room😎Mama Ndege nahamu sana ya kuongea na wewe leo fungua piemu jirani, majirani hatufanyiani roho mbaya kiasi hicho!
Ajali kaziniHuna hamu ya katoto unahamu ya kwenda jela miaka30.