Leo tunatoka kwenda wapi?!

Leo tunatoka kwenda wapi?!

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,456
Reaction score
11,518
Kwa upande wako skukuu yako unaenda wapi? Mimi nitakuepo home tu ila natamani niingie town nidake maini yenye utumbo msafi nikapige nayo bia mbili tatu!

Kula bia bila maini ikiwa pembeni huo ni uhujumu uchumi.

1766488043681.jpg
 
Leo sitoki natulia hapa hapa mtaani Mikocheni
Razorblade unaenda wapi leo?
Hahah! Nimefungua JF kwaajili yako halafu nakutana na tag, shukrani kwa kunikumbuka 👍

Jobless mimi nilikuwa nimepanga nije kukuomba mualiko ila kwakuwa hautoki basi niendelee kucheza game tu 😂
 
Back
Top Bottom